Jamani nani amewahi kuwasikia hawa watu UK4AFRICA wana project yao inaitwa small buisness income program support ambapo kuna product zao unatakuwa kuwauzia retailers.
Any information will be appreciated!
natumaini mko poa wanajamii
Maisha mgumu mtaani elimu ipo kazi hamna, nimeamua kujiajiri jamani tupeane tenda
kwa yeyote atakae hitaji kutengenezewa website za occasion mbalimbali kama vile wedding, birthday,funeral, sendoff etc
atakependa naomba tuwasiliane tafadhali, bei ni rahisi na hamna...
jamani huo sio ukweli au inategemea na post but latest updates nilizonazo kutoka kwenye source zinazoaminika tanapa ni kwamba kwa sasa wako kwenye process za shortlisting, applications ni nyingi mno and they have to record each n every application kwenye database. msikate tamaa kama una vigezo...
nimewahi kufanya nao kazi call center vodacom miaka mitatu iliyopita.... mshahara customer care kipindi kile ilikua si zaid ya laki tano but hii inategemea na masaa uliyofanya kazi, wanalipa kwa masaa. mwajiri wako anakua erolink then pale inakua kama center ya kazi so any thing related to work...
ndugu zangu msikate tamaa, mi nina uhakika asilimia mia moja kwamba bado hawajaanza kuita watu kwenye interview, nafahamiana na watu kadhaa pale, ingawa sijaaply lakini hiyo position ya senior it kuna mtu tayari but wametangaza cz wanahitaji mtu mwingine...so kuweni wavumilivu cz wanadai short...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.