habari wana jf . nauza kiwanja changu kinachopatikana mbezi mji mpya karibu na stendi ya magufuli terminal. kiwanja kina ukubwa wa futi 60x50 average sio square.
Bei ni 15,000,000 maongezi yapo.
kipo sehemu tambarare pamejengeka pande zote umeme na maji vipo site. kiwanja kimeendelezwa tayari...
Habari za muda wa kuu , natafuta farm/shamba la kufugia kuku lenye mabanda makubwa yanayoweza kuingiza kuku takriban 50,000 au zaidi kwaajili ya kukodi.
Mambo muhimu kama umeme na maji viwepo site karibuni tushirikiane kwenye hili asanteni.
Kwa mawasiliano zaidi nicheki namba hii 0783150130...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.