Hivi ni kuchanganyikiwa au ni kukosa hoja?!
Tena kwa umbumbumbu wako umetaja jina lenyewe hasa. Kwa taarifa yako, kulikuwa na anti Peter, na alifariki kwa ukimwi miaka michache iliyopita. Unasoma kweli magazeti, kondoo wa mchungaji?! Tafiti kabla ya kubwabwaja!
Hivi Barbie gi*l uko ktk sayari gani? Hujui kuwa kanisa katoliki nchini Marekani limefilisika kutokana na kufidia kesi za ngono nje ya mahakama?! Vipi khs kanisa la anglican; hujui kuwa ushoga unahusiana na ngono?!
Swali kwako: Hivi kuna uhusiano gani kati ya wakristo na ngono?
Kwa kufuata mstari ulionyooka, Coy E ilikuwa ya mwisho. Mm nilikuwa Coy hiyo, ambayo ilikuwa imepakana na pori na njia ya kuelekea kwa "Babu".
Siku moja ilitoka order kuwa siku inayofuata, asubuhi, kutakuwa na Master Parade. Kuruta tulikuwa tunapata taabu sana wkt km huu. Km kawaida ya...
Hebrew,
Hata nami nilisikia kuwa col. Urio alifariki. Huyu alitukuta, nasi tulimkuta col. Meena.
Mnaukumbuka wimbo wa "Malela, Malela, Malelaaa, ... Malela, Malela, Male nakutafuta!!"? Tuliambiwa kuwa Huyu Malela alikuwa ni kuruta (msichana, nadhani). Siku moja alitoka yeye na kuruta mwenzake...
Oh, ulikuwa Coy Eagle! Ruvu, au Buhemba? Ruvu: Uliwakuta maafande Lyimo, Medadi, Zuberi, ...? CO alikuwa nani? Maafande wengi wamefariki, akiwemo Dr Omari, adjutant Jalala (km sijakosea jina).
Ni bora yamkute yeye mwenyewe; alikuwa akiwatumia akina Collin Powell hadi wakamstukia. Do you remember the boos and heckles directed to Colly in south Afr?
Kuhusu hoja ya Tz kuwa na uhusiano na Vatican, hiki ni kiini macho tu. HAKUNA NCHI YOYOTE DUNIANI YENYE UHUSIANO WA MOJA KWA MOJA NA VATICAN!! NCHI ZINAZODAIWA KUWA NA UHUSIANO NA VATICAN, HASA ZINA UHUSIANO NA "HOLY SEE" - SI VATICAN! HOLY SEE NI MAMLAKA YA KI-PAPA, SI NCHI!
Neno likijulikana na wengi, na jamii ikilikubali, huwa tayari ni neno rasmi. Tunaweza kusema, kwa mfano, ..... ni Mandela wa Tz, au .... ni Shakespeare/Shaaban Robert wa zama hizi.
Hivyo, tunaweza kusema pia: "Walimu vihiyo lazima ...."
Labda tuchukue mfano hai. Mabasi ya abiria ya jijini...
Matapeli wengi wamekuwa "wakiwazukia" wananchi kwa kudai kuwa ni askari kanzu na kuwa wana mashaka na mtu/watu "waliowazukia". Lengo lao hasa ni kumtia mshikemshike "mtuhumiwa" wao ili waweze kumchomoa pesa kwa madai ya kuizima "tuhuma" kwa kutoifikisha mbele.
Hili limekuwepo miaka nenda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.