Search results

  1. J

    Rajabu Luhavi ni mwajiriwa wa Serikali au CCM

    Private Personal Secretary to the President-PPS-P HIS Position!
  2. J

    CHADEMA kuiteka Pwani

    CDM mwaka wa shetani mpaka kipigo cha 2015, kama Jimbo la kalenga na Chalinze ilishindikana mwakan mtaangukia pua
  3. J

    Hassan Marin wa TBC hafai kwenye TV

    Katika watangazaji makini sana na wanajua wanachokifanya ni Marin Hassan,Pale ni ofisini kwake lazima ajiachie hata ww ukiwa ofisini kwako halafu unakuwa unakaa huna comfidence ofisini kwako huna maana na waliokuamini
  4. J

    Katibu wa Bunge Dr.Thomas Kashililah atolea Ufafanuzi Swala la Mhe.Freeman Mbowe.

    Mbowe kapoteza sifa za kuwa mwenyekiti
  5. J

    Wakazi wa Iringa waendelea kuikataa CCM waziwazi...

    Mleta mada nilikuwepo mkutanoni hivyo viti vyote vilijaaa,acha kuwadanganya watu...
  6. J

    CHADEMA inavyoliangamiza Taifa!

    CDM imechoka ipo ICU
  7. J

    Askofu ambomoa Dk. Slaa, amuonya na dhambi ya uzinzi!

    babu kashindwa kutokea madem na walivyo wengi hivi mpaka abebe mke wa mwenzie
  8. J

    Tuanze kujadili katiba ya Tanzania bara (TANGANYIKA)

    Tutengeneze Katiba ya Tanganyika kwanza ndio tutengeneze katiba ya shirikisho.... ili watanganyika tuulizwe tunataka shirikisho au la... coz zanzibar wao wanayo katiba yao..Tusibuluzwe Watanganyika...
  9. J

    Wengi wanaowaponda wazanzibar ni wale waliotoka mikoani kuja dar ukubwani.

    Wakinga wamewahamisha wenyeji kariakoo wenyeji mmepelekwa vichochoron....Wazanzibar uelewa wao hata siuelewi na sasa tunatengana nao ndio watajua muungano ulikuwa unawasaidia au la....
  10. J

    wajumbe wa tume ya katiba mpya wajitengenezea ulaji mwingine.

    Serikali tatu ni mzigo kwa watanganyika ..wazanzibar hawana kitu zaid ya harua na tende...Tufanye maamuzi magumu Tuachane nao kwanza wanatunyonya sana serikali yao wanaendeshea fedha za watanganyika
  11. J

    Mambo ya Muungano kwenye Rasimu ya Katiba

    Muungano wa serikali tatu haukubaliki... tunawapa watu ulaji kwa kodi za watanganyikana kuongeza misafara...posho na mishahara minono
  12. J

    Watanganyika hawanufaiki na Muungano wa Tz na Zanzibar-

    Kama serikali tatu bora kila mmoja aanze maisha mapya...Watanganyika wana uelewa mkubwa na wameenda shule rasilimali tulizonazo ziwanifaishe watanganyika
  13. J

    Eee Tanzania Nchi yangu wewe Pekee bila kupigiwa kura ni Ajabu la Dunia Tayari, Lakini bado Nakupend

    Serikali tatu itakuwa ni mzigo kwa Watanganyika...Zanzibar hawana uwezo wa kuchangia kwenye shirikisho...Bora kila mmoja aanze maisha yake tusiwatwishe Watanganyika mzigo fedha hizo ziende kwenye afya ...Elimu
  14. J

    Shirikisho la muungano pasipo washirika

    Aiseee umenena...Serikali ya Tanganyika haijaundwa ili tutengeneze shirikisho na ni lazima watanganyika washirikishwe kama wanataka au la!
  15. J

    Attention:kuna uwezekano rasimu ya serikali tatu kuwekewa zengwe

    [SERIKALI TATU HAIKUBALIKI BORA TUACHANE NA ZANZIBAR...WAKAFIE MBALI NA WATAKUFA NA NJAA.. WATAIKUMBUKA TANGANYIKA...tumewabeba hawabebeki...
  16. J

    Watanganyika hawanufaiki na Muungano wa Tz na Zanzibar-

    Wana JF sijaona faida ya huu muungano na hawa wanzazibar zaidi ya kutumia rasilimali zetu watanganyika kuendesha serikali ya zanzibar na Jamhuri ya Muungano.. na hii rasimu inazungumzia serikali tatu ni mzigo Mzito kwa Watanzania... Naomba kujua Faida ya Muungano kwa Watanganyika wana Jf
  17. J

    Alichokisema Ismail Jussa baada ya Tume kutoa Rasimu ya Katiba...

    Hakuna sababu ya Muungano wa Serikali tatu watakazotumia kodi zetu za Watanganyika.. kutuongezea mzigo watanganyika wa kuendesha serikali tatu bora Zanzibar tuachane nayo waanze maisha.. hakuna kitu tunanufaika kutoka zanzibar...
  18. J

    Mathias Chikawe: Katiba Tanzania Bara ("Tanganyika") yanukia.

    Watanzania wote tuungane kwa sababu Nchi iliyopata Uhuru si Tanzania bara ni Tanganyika... Sisi ni Watanganyika asitudanganye mtu
  19. J

    Wazanzibar sasa ruksa kukopa Taasisi za nje kwa kutumia jina la Muungano!

    Wanzanzibar wanakoelekea tutawachoka hebu watumbie kwenye mfuko mkuu hakuna wanachochangia halafu wakope kwa jina la muungano... hili halikubaliki hata kidogo
Back
Top Bottom