Wakuu habari.
Nimekuwa nikiwadadisi wazee wengi hasa wasomi kwa kujua kwanini wanapenda kwenda kuchukua madegree ambayo kwa umri walio nao ayata wasaidia kitu? au ndio itakuwa wasifu wa mwendanda zake.
Kwa upande wangu ni bora hizo ada wanazo kwenda kulipia hayo masomo kwanini wasisaidie watu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.