Hajakatazwa mtu kuchukua tahadhari!!usije ukawa unabwabwaja tu mtandaoni halafu huchukui tahadhari nikushauri anza kwanza kuwaelimisha waliokuzunguka majirani na familia yako kwa ujumla alafu njoo upaze sauti na huku.
Kwani mwenzetu unaishi ughaibuni kusoma hujui hata picha huoni!!serikali sio wajinga ingekua ya kutisha hivyo sote tusinge bwabwaja mtandaoni maana tungezikana kila siku tuachage unafki!
Lissu hawezi pata urais ndani ya inchi hii na alichokifanya marehemu kilikua sahihi,binafsi namchukulia lissu kama mamruki tu na msaliti wa inchi hii alionywa mara nyingi sana hakuwa msikivu na lile ni onyo tu hawakutaka kumuua
Unajua kuna watu wanastahili kabisa kufa we kila unalofanya zuri yeye anaforce lionekane baya kwa wananchi mara cjui anapeleka umbeya USA kwamba Tz huko nini kinaendelea huyo msaliti wa nchi yetu [emoji706][emoji706] kabisa
Tatizo mtu hataki kujifunza mwisho wa siku hela zinaangukia kwa vibaka wa mtandaoni ishu ya forex elimu inahitajika ya kutosha kabisaa ukikurupuka lazma uone kama kubet tu [emoji23][emoji23]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.