Why can't you sit down and get things done?
what's the reason you are not motivated to work on your goals?
to answer these questions we need to learn a little about the human brain.
The brain stayed pretty much the same for thousands of years.
We still run on the hunter-gatherer system which...
Suala la kusoma falsafa ni la kila mtu aliyehai na anayejua kusoma na kuandika. Mimi natamani hata mitaala ya degree mwaka wa kwanza wote watu wasome falsafa halafu mwaka wa pili na watatu waendelee na mambo yao. Falsafa ni msingi wa Maisha.
Mkuu utajiri sio ubinafsi utajiri ni maamuzi hata wewe unaweza kuwa tajiri. Na labda niwaambie kitu hata kama pesa zilizopo kwa matajiri tukagawana wote na kila mtu apate chake baada ya muda mfupi zitarudi tena kwa matajiri. Hivyo utajiri ni maamuzi na kufahamu njia za kupatikana kwa fedha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.