Search results

  1. korino

    Mafao ya uzazi kwa wanachama wa psssf na uhamisho wa watumishi TAMISEMI

    Poleni na majukumu ya Kila leo! Mwenye kufahamu katika hili anijuze! Ni Nini kinaendelea huko jamani maana watoto wameshakuwa wakubwa na wanakaribia kwenda shule sasa bado malipo hayajafanyika. Na lingine ni kuhusu tamisemi uhamisho wa watumishi walisema watatoa vibali Dec 2020 kabla ya sikukuu...
  2. korino

    Natafuta kiwanja cha kununua

    Habari zenu ndugu zangu wa humu.Poleni na majukumu ya kila leo! Nina ndugu anashida kidogo nikasema humu kuna watu wengi na wenye uelewa wa vitu vingi sitokosa jibu sahihi la kumpa(naamini hivyo). Ana shida ya kiwanja kwa Mkoa wa dsm..kiwanja ambacho anaweza akaanza ujenzi wa haraka zaidi na...
  3. korino

    Naomba muongozo wa kuandika barua ya kuhama kituo cha kazi

    Aassalam aleykum! Nahitaji kuhamia Dar es Salaam kwani mume wangu ni mfanyabiashara katika jiji lile...je niandike sababu gani kwenye ile barua yakuomba kuhamishwa? Lengo langu barua yangu iweze kufanyiwa kazi kwa haraka na niweze kumfata mume wangu? Siwezi kukaa naye mbali jamani. Naombeni...
  4. korino

    Kuhama kituo cha kazi!

    Habari za mida hii wakuu! Nna mdogo angu yupo tanga yy afanyakazi km mtendaji wa mtaa wa kata flani huko huko tanga! Anataka aondoke tanga ahamie DSM! Je kwa huko DSM anaweza kupata nafasi ya kazi km hiyo?yaani tutajua vipi km kuna nafasi ya kazi km hiyo? Na utaratibu uko vipi? Naombeni msaada...
  5. korino

    Je, dawa ya cetrizine inafaa kwa mjamzito?

    Je, dawa ya cetrizine inafaa kutumia kwa Mjamzito? Nina mafua makali na kichwa kinanigonga sana! sijajua dawa gani naweza kunywa. Natanguliza shukrani! Sent using Jamii Forums mobile app
  6. korino

    Nimepata ujauzito kabla sijatumia dawa za kurutubisha mayai je, mimba inaweza kutoka?

    Habari zenu poleni na majukumu. Miezi miwili iliyopita nilikwenda hospitali kuonana na Dr. wa wanawake kutokana na tatizo langu la kutopata ujauzito na vile mzunguko wangu haujakaa vizuri alinifanyia kipimo na akasema siwezipata ujauzito coz mayai yangu ni useless! ananipa dawa zakueka mzunguko...
  7. korino

    Je, naweza kupanda vitunguu maji kwenye bustani yangu ya nyumbani?

    Poleni na majukumu! Samahani sina experience yoyote kwenye ukulima hivyo naomba ushauri wenu. Napanda mbogamboga kama matembele na mboga za maboga, bamia hapa nyumbani kwangu kwa ajili ya matumizi ya nyumbani tu! Nawekaga mbolea ya mavi ya kuku au ya ng'ombe na namwagilia tu na maji kawaida...
  8. korino

    Fursa gani za biashara mkoa wa Tanga?

    Habari zenu Kwa wanaoishi mkoa wa Tanga au wenye uzoefu na mkoa huo...je kuna fursa gani ya kibiashara mkoa ule??(tanga mjini)! Ahsanteni
  9. korino

    Blenda za solar!

    Poleni na majukumu! Nahitaji blender isiyotumia umeme..badala yake inatumia solar! Je wapi naweza kupata? Naomben msaada wenu
  10. korino

    Nahitaji mtu tufanye biashara!

    ...
  11. korino

    Wanaotaka kujifunza kupika ubuyu

    Habari zenuuu...hata Mimi nilihangaika kweli kujifunza mapishi ya ubuyu...haki..nilishaharibu sukari yangu Mara kibaooooo lkn ckukata tamaa! Sasa ni hiviii Mahitaji: Sukari kilo moja Ubuyu vikombe 6 Unga wa ubuyu kikombe kimoja Pilipili manga kijiko kimoja Ikili kiasi Bikabonet of soda kijiko...
  12. korino

    Ntaipataje hii machine?

    Poleni na majukumu! Nahitaji hii machinel..je ntaipata wapi?
  13. korino

    ushauri

    ..
  14. korino

    Kumbe wanaume ndio wapo hivi!?

    .
  15. korino

    Usafi wa kucha na jinsi ya kuzitunza zisipate magonjwa

    Habari zenu ndugu zangu! mimi ni mwanamke wa miaka 30 sasa! Ndugu zangu jana usiku nimegundua kuwa kucha zangu zipo hivi! Kamstari kama rangi ya kahawia uliokaa kama duara hivi! Hiki kidole kimoja kinaonyesha vizuri ila vingine vinaonyesha kwa mbali na vingine havina! Je, ni ugonjwa gani huu...
  16. korino

    mimba ipo ila hakuna kiumbe ndani!

    Habari zenu ndugu zangu! Ni msichana wa miaka 30! nina ujauzito takriban week 6 hadi7! Jana nilipoenda haja nikakutana na vidamu kidogo na leo pia vile vidamu na utelezi kidogo bado vipo! Sio vingi sana sababu havijashika hata kwenye nguo ya ndani! Nimeenda hospitali na daktari akaniandikia...
  17. korino

    Kuzaa mtoto alielegea

    habari zenu ndugu zangu! naombeni ushauri juu ya uzazi wangu huu...ni msichana mwenye umri wa miaka 28..nlibeba ujauzito hatimae nkajifungua kwa njia ya kawaida mtoto alkuwa na kilo 4.1..alikuwa ni mtoto wa pili! nlijifungua salama nashkuru Mungu mtoto wa kiume ila mtoto alikuwa amelegea yaan...
  18. korino

    Masikio kuziba

    .
Back
Top Bottom