Habari zenu wapendwa, nasikitika kuwataarifu kuwa nimepata msiba wa mama yangu mkubwa. Amefariki jana jioni na tunatarajia kuzika leo saa kumi Muheza Tanga. Innalillah wainna illaih rajiuun
My hubby napenda kuchukua fursa hii kukutakia heri ya siku yako ya kuzaliwa. Wapendwa wana Chithat tusherehekee kwa pamoja na mpendwa wetu Judgement.
My love Judgement pokea na keki hii...........
CC: Arushaone Madame B sosoliso Passion Lady Erickb52 Arabela KOKUTONA
Wakiwa ndani ya kanisa mtoto alimuambia mamake,mama nataka kukojoa..mama akamjibu hio sio njia nzuri ya kusema.wakati mwingine ukiwa ndani ya kanisa na unaskia kukojoa sema unataka kuninong'onozea.
Jpili ilofuata mtoto akiwa ndani ya kanisa akiwa na babake akajiskia kwenda kukojoa hivyo...
Watu wawili, mwanamke na mwanamme walikwenda kwa daktari mtaalamu wa mambo ya uzazi.
Daktari akawauliza, "Ninaweza kuwasaidia nini?"
Mwanaume akamwambia, "Tafadhali daktari unaweza kututazama tukifanya mapenzi ili uweze kufahamu tatizo letu?"
Daktari akashangaa. Hata hivyo akakubali...
1. Huna muda wa kushinda na mpenzi wako kutwa nzima mkipiga stori za mapenzi
2. Ukihitaji kufanya mapenzi mahali unakokufikiria ni kitandani
3. Unaanza kujaza friji lako kwa vyakula zaidi kuliko pombe
4. Muziki unaoupenda unausikia ukiwa kwenye lifti ama kwenye gari lako ukienda na kutoka...
Habari wana Chit Chat, napenda kuwataarifu kwamba mwenzetu Judgement amepata ajali ya pikipiki siku ya ijumaa. Tumuombee apone haraka ili arejee kwenye mihangaiko yake ya kila siku.
Napenda kuchukua nafasi hii kutoa shukrani zangu za dhati kwa wakazi wa Arusha. Kwa kweli mmenipokea vizuri sana sina cha kuwalipa ila mwenyezi mungu atawalipa mbadala. Erickb52 , Philipo , pakajimi daudi , fabinyo na wengineo ahsanteni sana.
sikiliza mazungumzo ya baba na mtoto
baba: mtoto mzuri unamjua Nyerere?
mtoto: hapana baba
baba: pumbavu.....kuwa makini na masomo yako.
mtoto: baba na wewe unamjua Paul?
baba: hapana
mtoto: pumbavu.....kuwa makini na ndoa yako!!!!!
Baba John aliona mkewe amepunguza mapenzi kwake,na hiyo yote ni baada ya mkewe kujifungua. Baba John akaamua kutafuta sumu ya kumuua mtoto.,akaamka mapema,akampaka mke wake sumu kwenye manyonyo ili mtoto akinyonya afe,akaondoka zake. Aliporudi baadae akakuta aliyekufa ni houseboy!!! Otea nini...
Dada mmoja alikuwa kwenye mishemishe zake,mara akaona kanga inaning'inia dukani ikamvutia na kwenda kuinunua. Bila kuisoma jina akampelekea mama mkwe wake,kisha akaondoka zake. Huku nyuma mama mkwe akaifungua ile kanga na kukuta imeandikwa "GUBU LA MAMA MKWE LIMENICHOSHA". Akampigia simu mwanae...
Wapendwa...yani nashindwa hata nielezeje. Ni furaha na faraja iliyoje mliyonipatia leo. Yani nimefurahi na kufarijika saaanaa tena saaanaa...... Mungu awabariki na kuwalipa mbadala.
Habari zenu wana jf,sina budi kumshukuru mungu kwa kunifikisha siku ya leo...tarehe 7/2. Ni siku ambayo mama yangu mpendwa alinileta duniani,ahsante sana mama najua ni shida nyingi alivumilia mama yangu nikiwa tumboni kwake,mungu atamlipa kwa hilo. Napenda kujumuika nanyi katika siku hii ya...
Kuna familia moja ilikuwa na mtoto tangu azaliwe hajawahi kuongea hadi anafikisha miaka 4. Siku moja akasema Bibi,kesho yake bibi yake akafariki. Ukapita muda kidogo akasema Babu,kesho yake babu akafariki. Akaaa tena,hata siku hiyo akatamka Baba,kesho yake dereva wa mama yake akafariki......
Mke: hivi mume wangu mi nikifa utaoa tena?
Mume: kwanini nisioe.? Nitaoa tu.
Mke: huyo mwanamke ataishi humu ndani?
Mume: ataishi humu na atakuwa anawatunza watoto wetu.
Mke: atalala kwenye kitanda hiki?
Mume: atalala hapa na mimi na tutakuwa tunaenjoy zaidi ya tunavyoenjoy sasa na wewe...
Kuna Toto lilikosa adabu,baada ya kupata utajiri lilimfuata baba yake na kumwambia,"Baba niambie vyote ulivyotumia kwa ajili yangu ili nikulipe na usinifuate tena." baba akajibu, "wala sihitaji vitu vyote nilivyotumia kwa ajili yako,nipe tu mkeo nimnyonye michuchu kama ulivyomnyonya mke wangu."...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.