Lita milioni moja kwa saa? Kwa siku lita milioni 24, kwa wiki, mwezi, mwaka huo mto ungekuwa umeisha.
CCM hilo limashine la Lister Peter tena la Diesel ndio linavuta lita milioni moja kwa saa?
KWA HIYO SIMBA HASTAHILI KUFUNGWA? YEYE AFUNGAGE TUUUU!
HAO MLIWAFUNGA BOTSWANA WAKAJIPANGA WAKAJA MAPEMA. ACHENI DHAMBI ZA KUSINGIZIA MANULA KAUZA MECHI. HUO NI USHETANI.
MPIRA UNA MATOKEOA MATATU.
KAMA BARCELONA ANAFUNGWA SEMBUSE SIMBA, WAPUMBAVU WAKUBWA NYIE.
ACHENI KUSINGIZIA WATU...
MKUU WEWE JAMAA UNA MAJUNGU SANA. HIVI MPIRA WENYEWE ULIANGALIA?
WEWE UNADHANI GALAXY NI TIMU NDOGO NA MASKINI KAMA BIASHARA MARA?
ILE MECHI YA KWANZA BAADA YA SIMBA KUFUNGA MBILI ZA HARAKA HARAKA ULIONA MPIRA ULIOCHEZWA? KAMA MNA AKILI MSINGEJIAMINI KUPITA KIASI. HIYO TIMU NI NZURI SANA.
Kweli mkuu. Mfano Broiler ili upate faida lazima ale sio zaidi ya wiki nne umuuze fasta. Akila wiki tano umeshapata hasara.
Ndio maana sasa hivi watu wanakimbilia kwenye kuku CHOTARA ambao gharama zao za uendeshaji ni chini na bei unauza juu.
Amina. Kuwa makini na hao wanaokuita PM. Waambie kama wana ushauri wautoe hapa tuupime.
Wengi ni matapeli, wengine wanatumia hadi dawa ukikutana nao tu utawapa hela zote bila kujijua akili zinarudi hela zimeshaenda. Yamewakuta wengi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.