Search results

  1. omujubi

    'CCM' katika ubora wao!

    Sina uhakika kama Masoud Kipanya huwa anapitia huku kuona mambo haya.
  2. omujubi

    Mahashta Mûrasi Mkongwe katika historia ya Binadamu, umri wa miaka 179 apatikana India

    Mahashta Mûrasi wa India anayedai alizaliwa mwaka 1835. Sio tu ni kuwa ni mtu mkogwe duniani lakini pia mtu aliyeishi muda mrefu tangia historia ya binadamu (hii ni kwa mujibu wa Guinness World Records ). Kwa mujibu wa WorldNewsDailyReport.com nyaraka zote zilizoidhinishwa kumtambulisha huyu...
  3. omujubi

    Jumapili ya Matawi

    Habari zenu wandugu, unaweza kuipatia maelezo (caption) picha hii!?
  4. omujubi

    Balotelli kupata 'jiko'

    Wakati tukielekea Brazil kwenye kombe la dunia, mwanasoka wa Italia mwenye vituko nje na ndani ya uwanja Mario Balotelli amevihakikishia vyombo vya habari Jumanne kupitia akaunti yake ya Twitter kuwa atamuoa rafiki yake wa siku nyingi mwanamitindo kutoka Ubelgiji Fanny Neguesha. chanzo
  5. omujubi

    Mashamba ya Balali kugawanywa kwa wananchi

    Aliyekuwa Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), marehemu Daudi Balali.PICHA|MAKTABA Kilombero. Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero imeamua kufuta miliki ya mashamba yote makubwa yasiyoendelezwa na taratibu mpya zinafanyika ili kuyamilikisha kwa wananchi. Kati ya mashamba hayo...
  6. omujubi

    Understanding social/political Context....

    THE ANALOGY OF THE TWO COWS (Where does Tanzania fall!?) SOCIALISM You have 2 cows. You give one to your neighbour COMMUNISM You have 2 cows. The State takes both and gives you some milk FASCISM You have 2 cows. The State takes both and sells you some milk NAZISM You have 2...
  7. omujubi

    Tupac 'kufufuka' mwaka huu 2014?

    Kwa wale wapenzi wa Hip Pop jina hili sio la kuuliza na wale wanaofuatilia kwa ukaribu zaidi watakuwa wanakumbuka mazingira yaliyozunguka mauti yake. Zimekuwepo fununu nyingi na uzushi lakini leo nimekutana na hii. Sijaweza kufanya tafsiri ya Kiswahili lakini Kingereza chake natumaini...
  8. omujubi

    Syria: Kweli dunia haina huruma!

    Huko Syria, huyu mtoto wa kiume amelala katikati ya wazazi wake. Dunia iko wapi?
  9. omujubi

    Mtu Mjinga anafananaje!?

    Ukiiangalia huu mchoro vizuri ni kama vile unaonyesha jitu jinga ambalo hata ukilidhalilisha kiasi gani linaendelea kucheka tu! Painter atakuwa sahihi?Kwa hisani ya KP
  10. omujubi

    RAJAONARIMAMPIANINA Rakotoarimanana Hery Martial

    Huyu ni rais mtarajiwa wa nchi iliyo katika Bahari ya Hindi ijulikanayo kama Madagascar. Naombeni wajuzi wa lugha kama mnaweza kutupa utamkaji sahihi na maana ya jina lake: RAJAONARIMAMPIANINA Rakotoarimanana Hery Martial
  11. omujubi

    Hari ya Mwaka Mpya

  12. omujubi

    Hadithi ya vidole 20!

    Wanajamvi, hii ni hadithi nzuri sana inayohusiana na vidole 20 (ishirini) vya miguu ikisimuliwa kwa dakika 20. Ipitie uone utamu wake alafu nawe utoe duku duku lako. Huenda ikawa ngumu kueleweka kwa 'vilaza' lakini kwa great thinkers najua mko swaaafi.
  13. omujubi

    Waziri Mkuu ajiuzuru huko Latvia

    Janga la kuanguka supermarket kwaangusha Serikali ya Latvia Waziri mkuu wa Latvia Valdis Dombrovskis ametangaza kujiuzuru cheo chake, ambayo itapelekea kuanguka kwa serikali yake, sababu ikiwa ni mkasa wa kuanguka jingo la supermarket la Riga. Ametoa tangazo hili kwenye kikao na rais wa Andris...
  14. omujubi

    Bay Psalm Book is world's most expensive printed work at $14.2m

    Bay Psalm Book is world's most expensive printed work at $14.2mA tiny book of psalms from 1640 has become the world's most expensive printed book as it was auctioned in New York for $14.2m (£8.8m). The Bay Psalm Book is the first known book to be printed in what is now the United States. It...
  15. omujubi

    Kitu hicho ....Picha ya harusi!

    Hebu angalia hii picha ilivyochukua mazingira halisi ya wahusika kisha linganisha na za kwetu zinazowekeza mamilioni ya pesa ili kupata 'artificial scenes' alafu tupia neno.
  16. omujubi

    Mambo ya Porini hayo ...weekend njema!

  17. omujubi

    ...ndoa hii imevunjika!

    Habari zenu wanajukwaa. Kwa wale wanaofuatilia mambo ya Afrika Mashariki na hasa Uganda (kenya wana jukwaa hapa) watakuwa wanajua juu ya hii familia ya Kifalme ya Tooro, Magharibi mwa Uganda ambayo kwa kiasi fulani anaelekea kukumbwa na mabalaa yasiyokuwa rasmi. Ni hii familia ambayo baada...
  18. omujubi

    Mambo ya Lugha za Ishara kwenye Mahusiano!

    Wakuu, habari ndio kama hivi ila hii namba 5 imeniacha kinywa wazi. Je, unakubaliana na hili?
  19. omujubi

    Mtambue mwanamke na single na aliyeolewa...

    Hizi ndizo dalili utazozitambua kupitia uvaaji, mnasemaje wanajamvi.
  20. omujubi

    Tofauti ya wanawake na wanaume....

    Wasalaam wanajukwaa! Hii habari sidhani kama inafaa kuwa kwenye jukwaa la mapicha picha kwa maana inatufundisha mengi, moderators mtanisaidia kama nimekosea. Chukulia ndio mnategemea kutoka pamoja asubuhi na hasa wale mnaoishi zenu mijini mkikimbizana na usafiri, foleni nk. Je, unakubaliana na...
Back
Top Bottom