Search results

  1. omujubi

    Rais Samia: Waliopokea ongezeko la gharama za ununuzi wa ndege ya mizigo waachie nafasi zao watupishe

    Inaweza kuwa kweli kuwa miaka yote alyokuwemo serikalini hadi kuwa VP miaka 6 hakuwahi kulielewa hili hadi alielewe sasa?
  2. omujubi

    RC Mongella: Picha za watu waliojeruhiwa Ngorongoro zinazorushwa mitandaoni siyo za leo ni za miaka mitatu iliyopita

    Binafsi MZ sikukubaliana naye kwenye baadhi ya mambo lakini kila nikikumbuka kauli yake kuwa ili kuinyoosha hii nchi inatakiwa uwe kichaa na wasaidizi wawe vichaa wenzio ndio nakubaliana na maono yake sasa. Ni wazi yeye aliiangalia hii nchi kama ya binadamu wenye mapungufu mengi japo sisi...
  3. omujubi

    RC Mongella: Picha za watu waliojeruhiwa Ngorongoro zinazorushwa mitandaoni siyo za leo ni za miaka mitatu iliyopita

    Aisee!!!!!! Miaka 3 hadi minne iliyopita palikuwa na vita gani Loliondo?
  4. omujubi

    Ngorongoro - Loliondo: Askari Polisi amekufa baada ya kupigwa Mshale mmoja tu, RC Mongella amlilia

    Ukifuatilia matukio tofauti yanoyotokea katika nchi hii yenye watu zaidi ya million 60 pamoja na hili la sasa la Ngorongoro unashindwa kuelewa kama kweli miongoni mwa watu wote hawa inakuwaje hakuna watu wenye akili!!! ....au unajiuliza hawa wajinga wachache, wasaliti wamewezaje kujipenyeza na...
  5. omujubi

    Wanasiasa wengi Tanzania na watumishi wa umma utajiri wao mkubwa ni nyumba, shamba la mifugo na mabasi mawili matatu. Fedha wanazoiba wanapeleka Wapi?

    Hili suala nililifikiria juzi. Huenda hawa mabilionea wachache aliowataja mleta hoja ambao kimsingi hawakukaa sana kwenye siasa, walipiga pesa ndogo tu lakini wakawa na akili ya kuisimamia na dio leo wamezigeuza na kuwa mitaji ya walau kuwaajiri wengine (walioibiwa). Hapo hapo unakuta wapo...
  6. omujubi

    Kesi ya Halima Mdee na wenzake, vigogo waliogushi nyaraka wote kuanikwa

    Ila ni ukweli usio shaka kuwa kwa sasa kuna kuwindana ndani kwa ndani, usijekuta kuna watu wametegesheana hili na hawa wakaingia king kwa kuweka huu mjadala mbele ya macho ya sheria. Sisi wananchi tunashauriwa kutowaamini wanasiasa lakini pia wanasiasa wenyewe kwa wenyewe sidhani kama...
  7. omujubi

    Tatizo letu siyo katiba ni ukosefu wa maadili

    Kweli kabisa, kuna comment nimeona sehemu kuwa aliuza ng'ombe akadhani anasomesha mtoto kumbe anasomeshwa ng'ombe, bado naitafakari. Wengi tunaoongelea haya mambo unaweza ukakuta ndio wale wale tulioandamana majuzi kuunga mkono filamu. Hitimisho ni kuwa mfumo wa elimu wa kikoloni ulikuwa...
  8. omujubi

    Mazingira magumu ya kuanzisha Biashara Tanzania, nani ananufaika nayo?

    "....nani ananufaika nayo"m hili ni swali zuri sana la kuanzia kufikiri. Taasisi nyingi zimeshikiliwa na wakuu wanaoteuliwa na wanasiasa kwa hiyo ni wazi wanasiasa wanateua watu wanaofanana nao. Kwa vile upeo wa wanasiasa wengi hawawazi zaidi ya familia na koo zao na hawa wakuu ni hayo hayo...
  9. omujubi

    Gesi yetu ya Mtwara bado ipo?

    Unataka kusema ndio ilitumika kumtunukia uprofesa mkuu!!
  10. omujubi

    Rais Samia arudi nchini, kuzindua 'Royal Tour' Arusha. Benki ya Dunia na IMF waahidi fedha kama zilizojenga madarasa

    Nchi kubwa, rasiliamali nyingi na watu wengi lakini (huenda - nasikitika kuandika hivi) tatizo ni akili kidogo. Mfano, ukishakuwa na population ya milioni 60+ inabidi uamini kuwa ni 60m ya mafuvu yaliyojaa ubongo na ubongo ndio hufikiri. Sasa kitendo cha kutumia karibia rasilimali zote za nchi...
  11. omujubi

    Rais Samia arudi nchini, kuzindua 'Royal Tour' Arusha. Benki ya Dunia na IMF waahidi fedha kama zilizojenga madarasa

    Ni kweli, na mifumo ya ukusanyaji kodi pamoja na wakusanyaji vingekuwa rafiki na weledi ni wazi hizi ngonjera za trillion 2 zingefika hata trillion 5 kwa mwezi. Na zikishakusanywa zikasimamiwa kiusahihi na bunge lenye kuchambua walau 80% ya matumizi tusingekuwa watu wa namna hii. Hebu chukulia...
  12. omujubi

    Rais Samia arudi nchini, kuzindua 'Royal Tour' Arusha. Benki ya Dunia na IMF waahidi fedha kama zilizojenga madarasa

    Hivi mimi hii royo tua mbona siielewi! Kwa hiyo ndio tunakuja kuonyeshwa sehemu zile zile ambazo tunashinda kila siku ili sasa tugeuke nasi tuwe watalii? Au walimu wa jiografia hawakutufundisha vizuri juu ya maeneo ya nchi yetu hivyo hii itatusaidia vizuri kuyaelewa kwa kupitia 'huyu mwalimu'...
  13. omujubi

    Rais Samia atua Tanzania, aongelea mafanikio ya safari yake Marekani

    Sio neno zuri kulitumia kwa mtu unayemuita maza, japokuwa nami natafuta neno sahihi ....sijalipata, nikilipata nitakujulisha
  14. omujubi

    Januari Makamba: Tanzania hatuna uhaba wa mafuta, tumeshaagiza mengine ya Mei, Juni 2022

    Chama kina wenyewe na chama ndio kimeshika hatamu, wenye chama ndio wenye nchi. Swali linabaki tu kuwa nje ya Watz milioni 60 wenye nchi ni wangapi? Hawa watu wamejisahau sana
  15. omujubi

    Mwanzo wa kufeli kiuchumi Serikali ya awamu ya sita

    Lazima wafeli maana nchi ina watu zaidi ya milioni 60 lakini kuna kakikundi kadogo sana ka watu tena ambao uelewa wao unatia shaka wanadai ndio wenye chama na chama ndio chenye nchi. Hawa pamoja na kusingizia awamu iliyotangulia eti ndio imetufikisha hapa na vita ya Ukraine lakini akina TL na...
  16. omujubi

    Lusinde: Kinana na Nape wakamatwe na kuhojiwa kwa kumwita Rais Mshamba

    Nilikuwaga nikisikia kuwa kwenye hiki chama unahitaji kujitoa ufahamu, sio ajabu mwanzilishi aliwahi kutamka kuwa chama ni kokolo na sio mama wala baba yeke. Juzi nilivyomuona yule RC wa kanda ya ziwa akimsifia makamu mwenyekiti na ninavyosoma huu uzi ndio najua ni aina gani ya watu...
  17. omujubi

    Dada kaanza kampeni mapema mno!

    Nchi ina zaidi ya watu millioni 60, ninachojiuliza ni mshika remote ana nguvu na akili nyingi kiasi gani kuwazidi hawa wote? Na je, kama jaribio lake (lao?) la kwanza kumweka mtu wao lilishindikana 2015 litawezekana nyakati hizi ambapo hekaheka nchi inazopitia zimewafungua zaidi watu macho...
  18. omujubi

    Philip Mangula ang'atuka nafasi ya Umakamu Mwenyekiti CCM Taifa. Abdulrahman Kinana apendekezwa na Halmashauri Kuu kuchukua nafasi yake

    Vipi, au ndio wanajipanga kwa bao la mkono 2025? Itawezekana kweli watu wale wale kurudia mbinu zile zile kufanya haramu? Ngoja tusubiri tuone kwa watakaojaaliwa
  19. omujubi

    Nchi ngumu: Mashirika ya Umma 38 hayana Wajumbe wa Bodi za Wakurugenzi. Sasa lile Gawio kwa JPM lilikuwa linaidhinishwa na nani?

    Si tunaambiwa urais ni taasisi, sasa ilikuwaje haya yanaibuka sasa wakati 99% ya waliokuwepo wakati huo ndio walioko sasa!? Itoshe kusema kuwa mtu anayeona katiba ya chama chake chenye wanachama milioni 2 inahitaji mabadiliko lakini katiba ya nchi yenye watu zaidi ya milioni 60 isibadilishwe...
  20. omujubi

    Rais Samia kupokea ripoti ya CAG leo Machi 30, Ikulu Dodoma

    Na mzee wa kutaka pesa za assasi za kiraia ipewe serikali atakuwepo!?
Back
Top Bottom