ktk mahusiano lazima uwe jasiri dalili nliziona mapema, so alivyosema nikaona n muda sahihi .nmepitia mengi so kuachwa nafurahi ili mambo yangu yaende .only simple memory na znafutika within a hour
S
Sjawah ona mtu anaota kwa kuandika . aya hv jiulize we una tatzo hao uliokwishaona ndo wana matatzo. Sku zote ukitafuta jijue na wewe una mapungufu kama walionao hao ambao unaona hawafai
Kama alikuwa na tabia ya kukuulizia na kufahamu afu akabadilika hapo sawa,ila kama ndo alivyo sku zote . maisha ya ndoa hayalinganishwi sku zote ishi ,wewe unavyoishi na mwenzako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.