Mamesho,
Kwa wastani huwa ninao kuku wasiopunguwa 1700 - 2000. Kati yao, wastani 1200 ni broiler, 200 layers. Chotara na mabata pia wapo. (Ni shamba lenye nafasi).
Malighafi ninayohitaji ni mahindi, mashudu, dagaa (bei iwe rafiki kwa vyote)...
Habarini wana Jamvi,
Mimi ni mfugaji.
Nataka kuanzisha mpango kutengeneza chakula cha mifugo (kuku) cha kwangu mwenyewe; niachane na kununuwa.
Hivyo nataka mchango wa ushauri:
Ni mashine ipi ingekuwa bora. ( nn sifa zake)
Upatikanaji wa malighafi ( mahind, dagaa, mashudu, n.k)
Na...
Habarini Wadau,
Natafuta mashine na supplies za kutengeneza chakula cha kuku ;
1. ya umeme ( three phase), isiwe na complications nying, iwe strong.
2.ya kawaia katika ku operate.
3. Soko litakaloniwezesha kupata raw materials kwa bei fair.( mahindi, pumba,n.k)
Karibuni kwa maoni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.