Excuse me expertise, i have a satellite dish of 90cm and a KU lnb, with a dvb receiver (so called continental receiver). Currently i am receiving fta channels with a lot of scrambled channels right away. My concern is that, is it possible by using the same receiver and dish to get other...
Help me please i need to know this, Can any satellite receiver receive any satellite? Provided that it is not short listed within it?(can added satellite function to any receiver?)
msaada tafadhali
receiver yangu ya continental inaleta channel za free to air karibia 44 lakini ziko scrambed. nifanyeje?
tatizo hili limeanza kama siku 7 hivi ila mwanzoni zilikuwa ziinaonesha vizuri.
habari, kuna video clips nimeziona youtube za kitu wanachoita epoxy. haya ni material unaweza mwaga kwenye floor au meza au viti na kufanya viwe na top kama ya glass. nauliza hapa Tanzania yanapatikana? wapi, na kwa bei gani kwa anayefahamu.
Kuna simu mpya naziona madukani ni za tecno c 8. Vipi ubora wake? Nilichovutiwa zaidi ni uwezo wa camera 13 Mega pixel. Na bei nimezunguka naambiwa hata 280,000 napata. Naomba wanayoijua vizuri tuidiscus uzuri wake na madhaifu yake. Pia vipi kuhusu tecno c5 na boom 7?. Pia kuna simu nyingine...
hujaongelea at least device iwe na ram gani, au any ram. Vipi haiwezi kuwa slow, Je ukitaka kuiondoa unafanyaje? Vipi ukubwa wa hizo os zinakuwa na ukubwa gani, utahitaji kiasi gani cha internet data.
Habari wana mmu. Kuna hoja ningependa tuijadili. inayosema' 'kuna haja yoyote kwa mwanamke akisha olewa, kujenga nyumbani kwao?'' Hapa Namaanisha siyo kuwajengea wazazi, wazazi wameshajenga. Pointi yangu yeye kama yeye anunue kiwanja, aanze ujenzi wa nyumba yake. Kwa sababu tu uwezo huo...
Habari, mimi napatikana kahama shinyanga nimenunua king'amuzi cha startimes mwezi uliopita 03/2015. Kwa promotion ya sh. 39000, nikapewa ofa ya kifurushi cha sh. 10000 kwa miezi mitatu. Tatizo kwenye local channels haipo clouds tv. Nikajaribu kumuuliza mtu aliyeko pwani naye anatumia startimes...
Habari, siku hizi teknolojia imekua kiasi kwamba ukikosa baadhi ya vipindi kwenye baadhi ya tv unaweza kuvitafuta na kuviona baadae ukiwa umetulia mwenyewe. baadhi ya vipindi hivyo huwekwa katika tovuti mbalimbali kwenye mifumo tofauti tofauti ikiwemo pia mfumo wa episodi. mfano MKASI, SIRI YA...
Msaada jamani. Ninataka kuweka mbolea shambani. Sijui niwekeje. Maana washauri wejgi mmno. Nashindwa nifanye ipi iliyo bora. Kati ya
1.kumwaga kama kwenye mchicha
2.kuchimba kati ya mstari na mstari kisha kuweka mbolea
Au
3. Kufukua pembeni ya kitunguu na kuweka mbolea. Msaada please.
Maindi ya bisi soko lake si kubwa sana kama unavyolifikiria maana hivi vitu vimekaa kimsimu msimu. kuhusu maharage, uzuri wa maharage unategemea na eneo ulilopo, kwa huku niliko yanapendelewa maharage ya goroli (hulimwa arusha) wengine ya soya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.