Wakuu naombeni mnijuze kozi gan ya afya ambayo nikisoma diploma sitosota mtaani ....maisha magumu mno. ..ambayo nitaajiriwa haraka
Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
Wakuu hizi pikipiki kwa Bongo hazifai ...zinatoa moshi hatari ...nimeweka block mpya napo bado inatoa moshi Boxer ...nishaurini niweke block kampuni gan ili isiendelee kutoa moshi??
Wakuu habarin.
Block yangu ya pikipiki boxer 150 inatoa moshi sanaa ...sasa fundi kaniambia block imetanuka....sasa nimetafuta spear nimekosa nimepata ya Yog ya kichina for BM 150
Je, ni imara je itafaa?
Wakuu mafundi na wengineo kiujumla ...msaada tafadhali ..nina boxer 150 usiku nikipak nje na wakati wa baridi inasumbua sana kuwaka pia ikinyeshewa mvua ...... inasumbua sana kuwaka...msaada nini kifanyike
Wakuu mafundi na wana teknolojia ya simu nisaidien hili simu yangu ndogo ya Nokia ina sauti ndogo ya kusikiliza .
Hata kama nikiongeza mpaka mwisho napo sauti ni ndogo hadi niweke loudspeaker ndo nasikia vizuri ...nimejaribu kuuliza kwa mafundi wamesema Nokia ndio zilivyo zina sauti ndogo ...
Wakuu msaada tafadhali ..nimezunguka na boxer kwa mafundi wameniambia ni rings mara piston ..nimenunua nimepachika lakini zinakaa wiki zinakufa na moshi unaendelea kutoka ...nin suluhisho la kudumu
Mimi nina miaka 34, natafuta mwanamke wa kinyakyusa aliye mnene na mrefu.
Umri wowote. Nataka ambaye mbaye yupo tayari kuanza maisha ya kindoa hata kama ana mtoto. Nipo Songea.
Namba yangu ni 0744903557
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.