Wakuu habarini za sasa ...
Nasisitiza vijana musioe wanawake bora mkaishi wenyewe miaka yote ...cha msingi tafuta pesa ...mtafute Mungu...tena na tena tafuta pesa ....
Yaliyonikuta baada ya kuoa najuta hapa nilipo nipo dawati la jinsia na nimenyang'anywa mali zangu zote nilizotafuta kwa jasho...
Wadau habari zenu,
Naomba mwenye kujua chuo chochote Songea au Mkoa wa Ruvuma kiujumla kinachotoa kozi zifuatazo;
1. Diploma ya maabara
2. Elimu ya X ray na mionzi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.