Maswali unapoenda polisi una shida labda umepoteza vitambulisho au shida nyingine tu, unaulizwa eti kabila gani, dini gani maswali hayo ameyatilia shaka kuwa yana viashiria vya ubaguzi.
Hata Mimi sioni kama yana tija badala yake naona wangehoji eneo analotoka mteja wao ili kuweka takwimu...
Watanzania tunakoelekea sasa nahisi si pazuri, kama kila kiongozi atakaye kosea kidogo tu, ni kupigia petition, hii roho ya uhalibifu si ya kijenga. Mh Hapi ni kijana tumpe muda Kwanza, kama binadam kukosea kupo lakn si hukumu ya kumdemoti, maana sioni shida yake ni kiongozi anayeshirikisha ktk...
Kodii ya SIM Card kwa mwaka itakuwa Kati ya elfu 36000/na 72000/ hii ni hatari jamani wabunge waliangalie hili, Tz tunavyonzo vya mapato vingi hii waachane nalo kbs
Sent from my Nokia 2 using JamiiForums mobile app
Hivi vipimo vya ant genen mara muiongoze vinasoma wrong hasa ukiwa na magonjwa ya virus kama mafua hivyo mwambie asante check up zaidi
Sent from my Nokia 2 using JamiiForums mobile app
Tangu siku ya Kwanza alipotoa hotuba yake niliona hekima na busara ya kiuongozi ndani yake, kama wasaidizi wake hatamwangusha taifa hili litafika mkali kimaendeleo, na nchi haitakuwa ya mwisho tena ktk nchi zenye furaha[emoji23][emoji23][emoji23]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.