Kumekuwa na Vikundi vyenye mtazamo wa Kijeshi ndani ya vyama vya siasa hapa nchini.Mfano mzuri ni Green Guard,Janja Weed, nk. Mimi sina matatizo na Umoja wa vijana, isipokuwa vikundi hivi ambavyo vinamtazamo wa kijeshi. Je kila chama kikiwa na jeshi lake, matokeo yake ni nini? Vita...
Kumekuwa na Vikundi vyenye mtazamo wa Kijeshi ndani ya vyama vya siasa hapa nchini.
Mfano mzuri ni Green Guard,Janja Weed, nk. Mimi sina matatizo na Umoja wa vijana, isipokuwa vikundi hivi ambavyo vinamtazamo wa kijeshi. Je kila chama kikiwa na jeshi lake, matokeo yake ni nini? Vita...
Wananchi wa wilaya ya Muheza Tanga wameiomba Tume ya Warioba kuwa,Wabunge WANAOSINZIA BUNGENI wapewe adhabu zifuatazo:- Kuchapwa viboko 3
- Kumwagiwa maji ya baridi
- Kufukuzwa Bungeni muda wa siku 3
Hiyo hoja mimi ninaiunga mkono asilimia 100...
Hi,wana jamvi! Nimekuwa nikiona kwenye vyombo vya habali eti Wazee wa Arumeru wametoa tamko.Na huwa inapewa uzito mkubwa kabisa! Hivi hilo tamko linatoka ndani ya Kikao flani? Je huwa kuna kura inayopigwa ili kuhalalisha tamko hilo? mfano eti wazee hawamtaki Lema Arumeru.Hivi kweli wazee wote...
Bilashaka Unatumia MASABURI kufikiri wewe. Mbona Waarabu walio jaa Bungeni haujawasema? Kama ameolewa na Muhaya na kufuata taratibu za uhamiaji ,huyo ni Mtanzania.Anahaki ya cheo chochote.Ubaguzi ni dhambi kubwa sawa na kula nyama ya mtu.
Hii ni hoja ya kinafiki sana. Fikiria Madaktari walianza kilio chao tangia 2005 lakini wakanyamazishwa.Hakuna hata raia mmoja aliye sikika kuwaunga mkono. Wengi wamekimbia nchi kwenda nchi za jirani ,na sisi tumenyamaza.
Madaktari tumewafanya Vitendea kazi,Vibarua,kazi ya wito wa kufa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.