Search results

  1. M

    Kampuni za maji mnashindwa vipi kuomba udhamini mdogo wa hizi timu

    Labda kuna conflict of interest azam kama tv sponsor hataki hayo mambo
  2. M

    Ushauri wa Tundu Lissu kwa Serikali ni wa kijinga na Serikali itakuwa ya kijinga kuukubali

    Nadhani mwandishi alidhani uzi utakua mvinyo, kumbe ni juisi ya nanasi.
  3. M

    Winshear Gold Corp. v. United Republic of Tanzania (ICSID Case No. ARB/20/25): Taarifa Fupi (Sehemu ya kwanza kama iliyovyoandikwa na ChatGPT)

    Mbona kuna maangalizo(juu ya usahihi wa ilo andiko)Mwingine anaweza pia kujifunza kwamba, "Tusiamini hizi akili bandia lengo lake ni kuchafua serikali yetu tukufu" Mwingine anaweza enda pima kimombo chake katika kesi nzima yenye masaa zaidi ya 12.
  4. M

    Winshear Gold Corp. v. United Republic of Tanzania (ICSID Case No. ARB/20/25): Taarifa Fupi (Sehemu ya kwanza kama iliyovyoandikwa na ChatGPT)

    Winshear Gold Corp. v. United Republic of Tanzania (ICSID Case No. ARB/20/25): Taarifa Fupi (Sehemu ya TATU kama iliyovyoandikwa na ChatGPT) Summary 👤 The witness, Mr. Richard Williams, is being questioned about his role as CEO and director of various mining companies, including Windshear, BTL...
  5. M

    Winshear Gold Corp. v. United Republic of Tanzania (ICSID Case No. ARB/20/25): Taarifa Fupi (Sehemu ya kwanza kama iliyovyoandikwa na ChatGPT)

    Winshear Gold Corp. v. United Republic of Tanzania (ICSID Case No. ARB/20/25): Taarifa Fupi (Sehemu ya PILI kama iliyovyoandikwa na ChatGPT) Summary 📌 Tanzania's team is ready to start the presentation at the tribunal. They will provide a general overview of the issues, elaborate on their...
  6. M

    Winshear Gold Corp. v. United Republic of Tanzania (ICSID Case No. ARB/20/25): Taarifa Fupi (Sehemu ya kwanza kama iliyovyoandikwa na ChatGPT)

    Summary 📋 Tanzania expropriated the SMP gold project, a 12-year-long investment to explore and develop a gold mine, without offering prompt, adequate, and effective compensation, violating the Canada-Tanzania bilateral investment treaty. Facts Tanzania attracted foreign mining investments in...
  7. M

    Ubinafsishwaji Bandari tatizo la Watanzania ni lugha ya Kingereza, Mkataba upo sawa

    Mkataba uvunjwe kwa pande mbili mmoja akichemka akakataa kuvunja mkataba nini kinatokea ?? Hebu andika iko kiingereza unachohisi unakijua kuliko wengine tuone.
  8. M

    Serikali yaunda timu ya wataalamu kupitia upya sakata la Tozo. Yasema zitarekebishwa ila hazitaondoka

    Kupoteza muda na rasilimali za fedha za TAIFA kwanini haikuundwa tume awali kuona kama hizo tozo zitakua na tija? Mnaunda tume sijui timu saizi what for ? hivi hamna viongozi wengine wapewe io wizara
  9. M

    TikTok mfalme mpya wa mitandao ya kijamii?

    Nilitaka kwenye reply niifanunue TikTok kwa undani, kama ikitokea mtu kaleta swali au angependa kujua kwa undani zaidi. Ningeeleza ila nishakosea itabidi nifute nitaandika upya.
  10. M

    TikTok mfalme mpya wa mitandao ya kijamii?

    Sawa mwanafunzi mtoro nitafuta uzi baada ya muda kidogo unisamehe sana, nitaanda vizuri niuandike tena.
  11. M

    TikTok mfalme mpya wa mitandao ya kijamii?

    Ukidhani tu teknolojia fulani imefikia ukomo anakuja mwingine anaboresha kidogo tu na anakua mkubwa. Lakini kuna tatizo moja naliona kwetu sisi watanzania tuna tabia ya kusema kwamba APP fulani sio ya kutumia watu wa jinsi fulani au APP fulani sio ya kutumia watu wa umri fulani. Unahisi kuna...
  12. M

    Kwanini ni serikali pekee inasonga katika TEHAMA na sio sekta binafsi?

    Lakini kwa jinsi tulivyo unadhani soko kweli linahitaji tovuti?
  13. M

    Kwanini ni serikali pekee inasonga katika TEHAMA na sio sekta binafsi?

    Japo sio kwa kiwango kikubwa lakini mifumo mingi nchi hii ya kitehama ni ya serikali na hufanya kazi nyingi kama ilivokusudiwa mifano kadhaa kama eTiketi, control number, malipo ya polisi na mengineyo yote umilikiwa na serikali, japo matatizo ya kimtandao huwa ya mara kwa mara lakini walau kuna...
  14. M

    Ajira zipo kweli au ni "scam"?

    Sera ya kampuni labda lazima ajira itangazwe hadharani kabla ya kutolewa kwa mtu
  15. M

    Ajira zipo kweli au ni "scam"?

    Naamini sana katika hili .
  16. M

    Ajira zipo kweli au ni "scam"?

    Private sector wanatoa matangazo kutimiza matakwa ya sheria
  17. M

    Ajira zipo kweli au ni "scam"?

    Huwa naingia majukwaa mbalimbali yanayotangaza ajira nadhani mara nyingi huwa naona kama changa la macho hakuna ukweli wowote juu ya uwepo wa ajira zilizotangazwa. Ikitokea kama kweli zipo basi kuna watu wameshapata hizo nafasi, na sie wengine tunaona machapisho tu mtandaoni lakini wenye kazi...
  18. M

    Taliban yapiga marufuku ushiriki wa Wanawake kwenye tamthilia

    Mbona kama ushoga hivi ? Sema maisha bwana bahati imagine umezaliwa nchi io
  19. M

    Katiba Mpya sawa, lakini unadhani watu wengi wana weledi wa kutosha: Case Study South Africa

    I have chosen to ignore the messenger and the message. I never believed if a man and his ideas are inseparable. Quick to assume something just uncover your idiocy.
Back
Top Bottom