kwani jamaa hana watoto huko kwa mke wake? kama hana mzawadie na kama hutaki kumzalia basi kila mtu achukue time yake isiwe unataka akutunze ila wewe kumzalia hutaki hiyo mbaya itafika muda mtadhuriana.
Nashukuru sana wana JF kwa mawazo na maoni mazuri kwa kweli nilizoea kuwa na dem, mchepuko pembeni nikiacha huyu basi nitatafuta mwengine ilimradi tu niwe nae mchepuko ila kwa hili nimeachana nae huyu dem na sitaki tena kuwa na dem nabaki na mke wangu.
Napenda kutoa shukran kubwa kwa post ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.