Gerradi vp kambi ya Adamu Aalima imeangamizwa au imenyanyuka maana nilisikia uchaguzi ulikuwa moto!pili kulikuwa na taarifa kuwa mkurugenzi wenu LIANA SIPORA alikataa kusaini PAY ROLL pamoja na kukabidhi ofisi hahahahaha hebu simulia kidogo.
uwezo wake kupambanua mambo ni heri awe Dr,maana hawa tunaozani ni drs hawatufai,kwa nini tanzania ni maskini?utasikia sijui sasa kuna umuhimu gani wa kugawa dr.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.