Nahakika moja ya majirani wenye gilba na hila uko mtaan kwako wewe ni mmoja wao.. hivyo ina kuuma sana kuona tuna peana mbinu za kudeal na nyie. Wewe bila shaka ni mshirikina, mwenye wivu na mwenye roho mbaya sana.. hata uandishi wako una dhibitisha ulivyo nafsin mwako..
Kama jambo halikuhusu ukijihusisha nalo lazima uonekane mwehu.. kwamba hao wanao jibu matukio yenye mafunzo na hao wanaosema wamejifunza kupitia uzi huu wote ni wajinga wewe ndio mwerevu?? Ukiona huelewi sababu ya jambo pita mbali usitake hata kulisogelea utakuwa kama kituko.. ambayo wewe...
Hilo la CRDB ndio na mm lilinikuta nilikaa muda bilakutumia kaka miaka 3, nika uza Gari sasa mnunuz akataka alipe kwa bank nika mruhusu nika mpa jina na acc akalipa.. bwana weweee.. kesho yake naenda bank kutoa nakuta walikata 150,000/ eti ni mantainance ya card kwa miaka 3.. nilichoka.. alafu...
acha tu, hi bank ni wajanja sana.. na ukiuliza utazungushwa maelezo yasiyo eleweka wana jiuma uma wafanyakaz wanajua kabisa sio sawa ila wanarushiana mpira nenda kwa flan mara nenda kwa fulan..utachoka uondoke alafu mwezi unao fuata wanafanya vile vile
NBC matapeli kuweni makin na bankstement za kila mwezi wanazotuma kwenye email..utagundua wana iba kijanja. eti unakatwa Insurance Premum mara 3 ndani ya mwezi mmoja.. alafu hakuna mahali umeongea nao kuhusu insurance na katika miaka 3 ya kuwa nao sijawahi ona wamenikata mambo ya Insurance...
NBC matapeli kuweni makin na bankstement za kila mwezi wanazotuma kwenye email..utagundua wana iba kijanja. eti unakatwa Insurance Premum mara 3 ndani ya mwezi mmoja.. alafu hakuna mahali umeongea nao kuhusu insurance na katika miaka 3 ya kuwa nao sijawahi ona wamenikata mambo ya Insurance...
Dah. aisee kuna visa havi kwepeki ni Yesu tu aamue.. Embu I magine umejituma kwa jasho lako umejenga kwako jirani anaenda kwa mganga kuku tupia majin?? bora Yesu wako ali muwahi ..safi sana.. Pole pia kwa hicho kisa hatari sana
Bado najiuliza kachimba kwenye eneo lake au la uma? je amekusudia matumiz gan? maana kisheria kila mtu ana haki na eneo lake kwa maendeleo yake.. usije kuwa umechokoza kwa kumshtak.. vita za uchawi na hila zianze
Hahahah, Ila heshima huja kwa kuweka busara mbele.. huyo Mwanajesh ata cheo atapata kazin kwa urahisi maana hana ubabe wa kijinga bali amebarikiwa hekima.. ukifuatiloa utakuta ana cheo. na hicho cheo hupewi wajinga wasio na busara .ninamtabiria cheo kikubwa zaidi uko mbelen
Tupeane Uzoefu wa Tabia za Wenyeji wako, ulizo kutana nazo kwa Jiran yako wa mpakani au mtaa ulio jenga na kuhamia au ulipo nunua kiwanja umepokelewaje? Vipi wenyeji wa pande zote za nyumba au eneo lako? Kuna kosekana wivu na gubu kwa jirana zako? au ndio ile ushazoea husemezani nao? Au umepata...
Sidhani kama unakijua kipomo cha inches vizuri.. Tumia rula kujua cm ngap kisha ntakwambia inches ulizo nazo.. ila nakataa hakuna binadam mwenye kusimamisha ikawa 1.8inch labda kama ikiwa imelala
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.