Mkuu, naomba jua ni channel zipi siyo za CCM ili nianze kuzitizama. Na pia siku zikiwekwa AZAM tuweze rejea hii mada.
Mi nilidhani AZAM wamenunua leseni na wanaanza kuseti mitambo hapa bongo kurusha channel za ndani, kila wiki 2 au 3 wanakamilisha mitambo flani inayoruhusu channel flani, ilianza...
Tina...kwangu mm nasema wasichana wana miss undersrand mtu kuwa vizuri na wakujibeba...mtu unakazi, unausafiri...hakuna haja ya kujibeba...wao wakishaona hivyo wanaona ndo sehemu ya kuchuna wakati mtu bado unamipango...unaanza nae vizuri na umeweka malengo mazuri kuwa ndo atakuwa...
Poleni kama itawauma ila i just have to say it. Okay that been said...
Umeanza uhusiano na mwanaume, umemkuta anakazi yake nzuri tu. Lakini yeye kuwa na kazi isiwe sababu ya mizinga kila kukicha...
Umemkuta ana kazi, that means ana malengo yake, kama kiwanja, kujenga, gari n.k, na mshahara mara...
Just know it will not end anytime soon, he may stay away for a while but he will come back again, the only way for him to stop is to find someone else, someone he will love or atleast like...the only thing you can do at the moment is to ignore him.
Believe me, no one like to be ignored, he will...
Mambo vp wadau? Ebwana na mpango wa kuanza ujenzi wa nyumba ya gorofa, tatizo naambiwa kuwa ili kujenga nyumba ya gorofa, kuna utaratibu wa kufuata ili kupata kibali, kwamba kuna ishu ya ramani yangu ya nyumba kuipeleka wizara ya ardhi kukaguliwa na procedure nyingine kibao.
Ningependa kujua...
Nakushahuri pia uangalie jinsi unavyoiandika CV yako, maana hiyo ndo interview ya kwanza. Check online for the best CV, maana ki2 kikubwa kwenye CV ni kuonyesha your capabilities clearly and in simple way for easy understanding, waajiri wanapokea CV nyingi sana na hawana muda wa passthrought...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.