Search results

  1. J

    Tatizo la kununua Umeme wa LUKU: Waziri Kalemani amsimamisha kazi kwa siku 10 Meneja wa TEHAMA wa TANESCO

    Hapo Waziri amependelea. Anayetakiwa kusimama ni DG sio hivyo vidagaa. Anamlinda DG kwa lipi?
  2. J

    Tanzania imegeuka kuwa Taifa linaloshauriwa na watumiaji wa Mitandao?

    Tatizo ni kutoheshimu mifumo iliyowekwa katika teuzi. Ukienda TPDC kwenye Muundo wake lazima utakuta sifa za mtu kuwa DG wa TPDC. Ingezingatiwa hiyo huyo dogo asingepenya hata kidogo. Teuzi za sasa haziangalii hayo, ni utashi tu wa mteuzi na wanaomshauri. Hapo ndipo shida ilipoanzia...
  3. J

    IKULU: Rais Magufuli apokea ripoti ya uchunguzi wa mchanga wa madini. Amtaka Waziri Muhongo ajiuzulu

    Namba Siku zote hazidanganyi. Ukizichezea bila umakini zinakuumbua. Hapo hakuna cha average. Hata value ya hizo kontena inatisha, eti sh 1,400 plus billion, in maana kontena moja ni worth 5.7billion. Hela yote hiyo itembee njiani na Lori toka kahama to dar bila ulinzi, halafu ikae majini mwezi...
  4. J

    Nani yupo nyuma ya figisu za kubadili mihula ya urais Tanzania?

    Hivi kwa nini wasijitokeze wabunge wengine nao wapeleke muswada binafsi wa: kupunguza miaka ya kukaa madarakani hadi 4 na mwingine kupunguza madaraka ya rais? Tuone Spika atafanyaje hapo.
  5. J

    Rais Magufuli: Lazima niseme ukweli, "kuna watu wamebinafsisha viwanda kwa mikataba ya ovyo"

    Viwanda ku-underpeform wakati ule haibadilishi hoja ya JPM kuwa vilikuwepo vikauzwa kwa bei ya kutupwa. Huo ndio ukweli wenyewe. Viva JPM
  6. J

    Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

    Mimi namkubali Ila atende haki asionee mtu
  7. J

    Chenge si jasiri wala smart, anadekezwa na kutengenezewa upenyo

    Ni kweli anakamatika, hofu yangu wasukuma watakuelewa? Inaweza kuzalisha kitu kingine, bashite kulindwa Vs chenge and company. Stop there kulinda Chama hususan usukumani.
  8. J

    Kumbe Prof. Mruma si mzalendo kama wengi wanavyodhani

    Kwa vyovyote Acacia jibu wanalo maana hawaishii kupima sampuli tu wamekuwa wakiuza madini halisi kwenye makinikia tangu mwaka 2000. Hivyo wakisema wanapingana na taarifa ya tume wako seriuos. Tume iliishia kupima tu sampuli. Kama wanajiamini wasindikize hayo makontena kwenye mtambo wakaone end...
  9. J

    Kumbe Prof. Mruma si mzalendo kama wengi wanavyodhani

    Unajua Prof Mruma alishastaafu miaka 2 iliyopita, yuko kwa mkataba nadhani hapo GST. Hata ingekuwa mimi lazima nipambe taarifa yangu ili angalau niteiwe kuwa balozi au Mkiti mahali, chezea maprofesa wewe! Alipika taarifa ikapigika na akajitahidi kuisoma kwa hasira ili umma umuone shujaa
  10. J

    Kumbe Prof. Mruma si mzalendo kama wengi wanavyodhani

    Bila hata kungoja tume huru, facts zinawaumbua. Inawezekanaje kontena 277 za makinikia zitoe tani 15 za dhahabu? Kama ndio, kwa nini mmiliki wake asafirishe tani hizo za dhahabu kwa barabara tena bila ulinzi wakati gold bars zinaenda kwa ndege tena baada ya kulipa bima kubwa? Kwa nini makinikia...
  11. J

    Kesi ya ACACIA

    Jamani hebu tujitahidi kuyaelewa haya mambo bila mihemko. Hiyo 4% ni mrabaha na inalipwa kwenye gross value. Hapo mwekezaji bado hajatoa gharama za mtaji na uendeshaji. Bado atatakiwa kulipa kodi kibao kama kodi ya mapato ambayo ni 30%, SDL, PAYE, withholding tax, service levy nk. Kiuhalisia...
  12. J

    UKWELI MCHUNGU

    Nimpongeze JPM kwa hatua za uzalendo anazoendelea nazo kulinda rasilimali za Taifa. Baada ya taarifa ya makinikia kusomwa aliagiza watendaji wote kuanzia 1998 washughulikiwe kwa kuchunguzwa. Ninajiuliza swali, hivi baada ya kushughulikia uozo uliokuwepo pale bandarini na kuwezesha mapato...
  13. J

    Calculator ya Tume VS Calculator ya Acacia

    Ufunge watu kwa data za kupika? Mungu anakuona. Utachuma dhambi mbaya sana. Ili kuwafunga hao, tuthibitishe kama walikuwa wanahongwa, tofauti na hapo ni kuwaonea. Kama ni kwa uzembe, huwezi funga mtu. Mbona madaktari wanaua watu wengi kwa uzembe lakini hakuna aliyefungwa. Tusahau ya nyuma...
  14. J

    Chenge,Werema: Tume imedanganya kiasi kilichopo kwenye mchanga, wajivua lawama

    Umesema kweli yote. Hakika wewe ni kichwa. Historia itakukumhuka. Watch out JPM unadanganywa
  15. J

    Mmejiuliza ni kwanini mpaka sasa hawajatoa full soft copy report ya uchunguzi wa mchanga wa dhahabu?

    Hiyo taarifa ni magumashi nawasmbia. Hao maprofesa wanatafuta tu vyeo kwa Magu. Wataumbuka soon. Wameumiza watu wengi sana kwa uongo wao, Mungu anawaona. Waitoe wazi hiyo taarifa waone itakavyokosolewa. Maabara yenyewe waliyotumia ni ya GGST ambayo haina ISO. Kwa kweli wameiweka nchi pabaya...
  16. J

    Kwanini watu wengi wa Kanda ya ziwa hasa Wakurya ni Wasabato?

    Hao Hao Wakurya wanajitambua ndio maana wanasali Sabato. Nijuavyo mimi kusali Sabato ni kutimiza amri ya nne ya Mungu kama ilivyotolewa kwenye Kutoka 20:8. Ikumbukwe pia kuwa Yesu alikuwa Msabato kasome Luka 4:16, Paulo na mitume wote walikuwa Wasabato kasome Matendo ya Mitume 17:2, tukienda...
  17. J

    Jumamosi irejeshwe kuwa siku ya kazi ofisi za umma

    Umepotea rafiki, Wasabato Tanzania hivi sasa wanafikia milioni 5. Wakiamua wanaweza kutoa rais wa nchi hii.
  18. J

    Kwa Teuzi hizi za JPM sasa naamini Rais si wa "Vyama vyote","Watu wote" na "Jinsia zote"

    Mwaka 20 Mwaka 2020 Jimbo moja litakuwa na wagombea lukuki wa CCM. Siri imefichuka.
  19. J

    Hii kauli ya watapangiwa kazi nyingine naona inaukakasi

    Siku zote Mkuu wa nchi hasemi uongo. Ni lazima watatafutiwa kazi nyingine kama alivyoahidi. Sio hao tu, hata baadhi ya waliokuwa Makatibu/Naibu Wakuu wa Wizara bado wanasubiri kupangiwa kazi nyingine. Nina uhakika JPM atatimiza ahadi yake.
Back
Top Bottom