Wakuu Salama,
Nipo Dar es Salaam nauza samaki aina ya kambale (catfish) kwa mauzo ya jumla kuanzia nusu tani (500kg) kwa order. Kila kilo ni sh. 6,000. Available are fresh Not frozen / dried.
Wasiliana nami kwa namba hii 0673158730.
Habari zenu wakuu.
Naomba kuwasilisha hili tatizo langu ambalo nakosa namna ya kulikabili. Tatizo lenyewe ni kwamba kila wakati nikianza kusoma. Sikai Muda mrefu naanza kuhisi usingizi wa hatari. nisipogundua najikuta nimeshalala.
Sasa sijajua tatizo limo wapi na nitalitatua vipi. maana...
yaani huku kwa haya majibu yenu napaogopa bora nikakae kule kwa wanasayansi na wafanyabiashara nadhan itasaidia...
kaka yangu Mr Rocky huyo babu uliyeeenda kwake kutafuta dawa kweli umempata na amekupata umekua kiwembe mpaka nafikiria tufute undugu...... haya ntarudi baadae maana huku hapakaliki....
mmmh hapa unaingiapabaya mie niko makini kama fundi saa.....
yani wewee... una yako... usitake kuniletea vurugu hata sijatulia .... kakwambia nani mie mgeni???...ni mimi ndio natakiwa kukukaribisha... hivi unajua sakata la mzungu wewe??... hapo ulikua hujazaliwa ongea na wenye mji wakupe story...
kati ya taarifa mbaya nilizozipata nji hizi kwamba kaka mkubwa unaanzisha sacoss yako ambayo naiona tayari ina wanachama zaidi ya watano na mwenyekiti na katibu.
kilichomkuta kaka yangu Arushaone polee alafu mie namwamini kaka erickb53 kua yuko vizur
hellow wakuu.
yawezekana nikawa nimetoa supraizi kwa watu.
nimewamithi munooo. ila nimeamua kurudi baada ya kumaliza mizunguko yangu.
nomba kuwasalimia wakubwa ambao niliwakuta na nadhani bado wapo japo sijajua kama nawakumbuka wote.
kwanza salam kwa kaka mkubwa Mr Rocky, Zion Daughter[my.. ila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.