Search results

  1. stevoh

    Car4Sale Jipatie magari mazuri kwa bei ya mmiliki

    Hii mambo bado ipo au ishauzika?
  2. stevoh

    Car4Sale Jipatie magari mazuri kwa bei ya mmiliki

    Natafuta vitz ya sh 3m
  3. stevoh

    Ilikuwa tarehe kama ya leo january 2011

    Sio wote utawakumbuja[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
  4. stevoh

    Nauza samaki aina ya Kambale

    Wakuu Salama, Nipo Dar es Salaam nauza samaki aina ya kambale (catfish) kwa mauzo ya jumla kuanzia nusu tani (500kg) kwa order. Kila kilo ni sh. 6,000. Available are fresh Not frozen / dried. Wasiliana nami kwa namba hii 0673158730.
  5. stevoh

    Wauza smartphone tukutane hapa

    dah
  6. stevoh

    Tatizo la kusoma na kusinzia

    Habari zenu wakuu. Naomba kuwasilisha hili tatizo langu ambalo nakosa namna ya kulikabili. Tatizo lenyewe ni kwamba kila wakati nikianza kusoma. Sikai Muda mrefu naanza kuhisi usingizi wa hatari. nisipogundua najikuta nimeshalala. Sasa sijajua tatizo limo wapi na nitalitatua vipi. maana...
  7. stevoh

    mmh najihisi mie mgeni humu!!

    yaani huku kwa haya majibu yenu napaogopa bora nikakae kule kwa wanasayansi na wafanyabiashara nadhan itasaidia... kaka yangu Mr Rocky huyo babu uliyeeenda kwake kutafuta dawa kweli umempata na amekupata umekua kiwembe mpaka nafikiria tufute undugu...... haya ntarudi baadae maana huku hapakaliki....
  8. stevoh

    mmh najihisi mie mgeni humu!!

    nani kakufundisha hiyo tabia? sasa ntakukuta wapi??
  9. stevoh

    mmh najihisi mie mgeni humu!!

    mmmh hapa unaingiapabaya mie niko makini kama fundi saa..... yani wewee... una yako... usitake kuniletea vurugu hata sijatulia .... kakwambia nani mie mgeni???...ni mimi ndio natakiwa kukukaribisha... hivi unajua sakata la mzungu wewe??... hapo ulikua hujazaliwa ongea na wenye mji wakupe story...
  10. stevoh

    Whatsapp & Facebook For Every Java Phone

    mkuu file is too large to be saved!
  11. stevoh

    mmh najihisi mie mgeni humu!!

    hakika hili tatizo!! ntarudi ngoja niende kwenye kikao chetu cha kamatti kuu si unajua tupo dhodhoma!!
  12. stevoh

    mmh najihisi mie mgeni humu!!

    kati ya taarifa mbaya nilizozipata nji hizi kwamba kaka mkubwa unaanzisha sacoss yako ambayo naiona tayari ina wanachama zaidi ya watano na mwenyekiti na katibu. kilichomkuta kaka yangu Arushaone polee alafu mie namwamini kaka erickb53 kua yuko vizur
  13. stevoh

    mmh najihisi mie mgeni humu!!

    nimesema sitaki mathwali mbona huelewi?? haya najua niko vyema na nimenenepa sasa hivi!!
  14. stevoh

    mmh najihisi mie mgeni humu!!

    we nahisi utakua unamiliki sacos yako maana hizo mbinu unazotaka kunipa ninaziogopa.
  15. stevoh

    mmh najihisi mie mgeni humu!!

    umesema hujawa mmama??? tangu lini??? ipite miaka yote hiyo bado??
  16. stevoh

    mmh najihisi mie mgeni humu!!

    kiruuuuu pole thana..
  17. stevoh

    mmh najihisi mie mgeni humu!!

    wacha wewe mzima wewe! nadhan ushakua mama wa makamu!
  18. stevoh

    mmh najihisi mie mgeni humu!!

    hellow wakuu. yawezekana nikawa nimetoa supraizi kwa watu. nimewamithi munooo. ila nimeamua kurudi baada ya kumaliza mizunguko yangu. nomba kuwasalimia wakubwa ambao niliwakuta na nadhani bado wapo japo sijajua kama nawakumbuka wote. kwanza salam kwa kaka mkubwa Mr Rocky, Zion Daughter[my.. ila...
  19. stevoh

    Shamba ekari 4 linauzwa maeneo ya Miyuji-Dodoma

    muuzaji mbona hajibu swali? weka bei mkuu.
  20. stevoh

    smart phone lenovo a803 inahitajika

    husika na kichwa cha habari hapo juu. ukiwa nayo nichek kwa pm na bei yake na vitu utakavyoniuzia nayo.
Back
Top Bottom