Search results

  1. IKUNGURU IJIRU CHUKU

    Wataalamu Dadavueni nyie mie kichwa gongana

    Viwango vya juu vya tozo ya Serikali vimepunguzwa kutoka sh. 7,000/- hadi 4,000/-(kwa wanaotuma zaidi ya sh. 3,000,000/-). Viwango vya chini vimepunguzwa kutoka sh. 100/- hadi shilingi 10/- (wanaotuma kati ya sh. 100/- hadi 2,999/-) UFAFANUZI WA KINA UTATOLEWA NA WIZARA YA FEDHA
  2. IKUNGURU IJIRU CHUKU

    Huu ni wizi wa mchana kweupe

    Serikali ya CCM inachofanya ni Uporaji wa Pesa za wanachi! Huwezi Mkata mtu PAYE au Income tax halafu uje tena umkate tozo ya Serikali kwa kutoa pesa bank kwenye Pesa hiyo hiyo. Thats Robbery in a broad day light. Widen your tax base. Acheni quick fix its not Sustainable
  3. IKUNGURU IJIRU CHUKU

    Huu ni wizi wa mchana kweupe

    Serikali ya CCM inachofanya ni Uporaji wa Pesa za wanachi! Huwezi Mkata mtu PAYE au Income tax halafu uje tena umkate tozo ya Serikali kwa kutoa pesa bank kwenye Pesa hiyo hiyo. Thats Robbery in a broad day light. Widen your tax base Acheni quick fix its not Sustainable
  4. IKUNGURU IJIRU CHUKU

    Hivi hawakuangalia hili la tozo kwa wafanyakazi?

    Aliyeleta wazo la Tozo za Bank transfer alilenga kila mshahara wa watumishi wa serikali ukatwe kwa sababu mishahara yote inapita benki lakini kasahau kuwa mshahara huo huo umeshakatwa PaYE na kwa sheria za kikodi upaswi kufanya double taxation,Kama ikiendelea wafanyakazi mtaumia
  5. IKUNGURU IJIRU CHUKU

    Hivi ni kweli tuna Waziri wa Ujenzi? Maana hoi barabara ya Mbagala Mwendokasi ni hatarishi

    Nashangaa kuona UJENZI WA hovio WA BARABARA mwendo Kasi kwenda Mbagala iko hovio. Injinia WA mkoa, wilaya as if wao wanaishi mbinguni, hawaoni hawaioni hiyo adha ya hiyo BARABARA. Tunaomba wafike saiti waangalie.
  6. IKUNGURU IJIRU CHUKU

    Tujikumbushe kwa Babu Loliondo

    NAIKUMBUKA HII SIKU
  7. IKUNGURU IJIRU CHUKU

    Tujikumbushe: Huyu Bwana namkubali sana

    NINAMKUMBUKA SWAHIBA YANGU
  8. IKUNGURU IJIRU CHUKU

    Rais Robert Mugabe aliwahi sema, “Unategemea kupata nini kwa mkoloni aliyekutawala jana?

    Miaka 55 sasa tangu uhuru bado tunaendesha siasa za nipe nikupe? Eti nipe kura yako nitakujaza mapesa! Huku kama siyo kuvaa nepi ni nini? Hivi zama hizi kweli ni za kudanganyika? Imefika wakati wapiga kura mkue. Mvue nepi. Ondoeni nepi kwenye akili zenu ili muweze kujua mema na mabaya...
  9. IKUNGURU IJIRU CHUKU

    Kiongozi ni sawa na nyama, ikioza inatia kinyaa kuliko mchicha

    Nyama na mchicha zote ni mboga, tofauti yao ni utamu na gharama! Nyama iko juu ya mchicha! Cha kushangaza vyote vikioza nyama inanuka na kutia kinyaa sana kuliko mchicha. Maana yake ni kwamba vitu vyenye thamani vikioza vinanuka kuliko vitu visivyokuwa na thamani, kosa la kiongozi linanuka...
  10. IKUNGURU IJIRU CHUKU

    Je, kesi ikifutwa, Vielekezo navidhibiti vyote vinarudishwa Kwa wenyewe?

    Naomba nifahamishwe hili la KESI ya MBOWE kufutwa, au DPP kutokuwa interest na KESI, Swali langu ni Je Vielelezo navidhibiti vyote vitarudishwa Kwa wenyewe? Kama vitarudishwa. Je AKINA Bwire watarudishiwa Madawa Yao ya kulevia na Bastola Yao? Kisheria limekaaje hili.
  11. IKUNGURU IJIRU CHUKU

    Tukumbushane maneno haya kuhusu maisha

    Tunakumbushana tu wala sina jipya sana! __________________________________________________________ Moja Wema na ubaya vyote ni mbegu na vyote ukivipanda vinaota na mvunaji ni wewe uliyevipanda! Tunakumbushana kwamba ukipanda bangi huwezi kuvuna mahindi! Mbili Unaweza kuishi miaka mingi...
  12. IKUNGURU IJIRU CHUKU

    Wahenga wenzangu, tujikumbushe namna tulivyoishi enzi hizo

    1. Enzi hizo watu tulivaa viraka. Mafundi cherehani walipata kipato kwa kushona viraka. Suruali la baba lilikatwa kaptura za watoto na chupi kadhaa za mama. 2. Enzi hizo watu tulipiga mswaki kwa mkaa. Watu tulivaa kata mbuga. Miguu ilijaa funza wakubwa utadhani mbaazi. Tulikwenda chooni...
  13. IKUNGURU IJIRU CHUKU

    Nisingekukimbia: Msondo ngoma

    TUJIKUMBUSHENI IJAPO TUNA MACHUNGU
Back
Top Bottom