Habari zenu wadau,
Ngoja niwape story ya ndugu yangu mmoja hivi, ni binadam yangu ambae tulikua tumeshibana sana katika maisha ni mpambanaji wa kufa yaani jamaa alikua ni mtafutaj mno mno.
Alitoka kijijini akawa anaishi kwetu baadae akajipanga akaenda kujitegemea wilaya nyingine kwa jinsi...
Jamaa umeandika ukweli ulio uchi hio principle ninayo mimi nikimtongoza msichana for the 1st utamuona km ni wako au unalazimisha the way atakavokua anakujibu na atention yake kukusikiliza so ata km atakuambia nitakupa jibu unakua tayar unajua jibu gan utapewa.
Na mara nyingi mimi niki mtreat...
Balo za jeans zimefawanyika kama ifuatavyo
☆ jeans men
Hizi ni kuanzia size 28 kuendelea wanavaa kuanzia wakubwa kuendelea
Namba 1 bei yake ni laki 5
Namba 2 bei yake ni laki 2½
Zinakaaa peace mia za jeans
☆ladies
Hizi ni jeans mchananyiko za kike na kiume mara nyingi ukinunua hii unakutana na...
Hata katika faida pia me nimemzidi mfano mimi nanunua robota moja laki mbili na nusu linakua na jeans 125 nakua nimeuziwa kila jeans alfu 2000 kawaida nauza jeans alfu 5 faida yangu ni alfu 3 kwa kila jeans wakat yeye alfu 3 ataipata baada ya kumaliza ki pakti cha hereni chenye pair kumi za hereni
Habari zenu wadau
Mimi ni mfanyabiashara wa jeans za mtumba za kiume, sina muda sana kwenye hii biashara ni kama miezi kadhaa.
Sehemu zangu ni katika minada na magulio katika kuzunguka kwangu nikakutana na jamaa yeye anauza urembo nae pia tunazunguka wote katika minada.
Biashara yake ilianza...
Habar zenu waadau.
Naomba niende directly, kuna mahali flan mkoa wa manyara hua nafanya kilimo, katika halakat zangu za kilimo nikaona niwe napeleka na biashara ya nguo.
Nikanunua robota moja la suruali za kiume nikapeleka na biashara ikawa nzuri tu.
Nikawa nazunguka na kwenye magulio ya...
Kuna siku nilikua town nikakatiza mitaa flan nikakuta wadada wawili wamekaa mmoja kabeba mtoto wakaniita nikasogea wakaniambia wanaenda kwao wilaya nyingine wamepungukiwa nauli pia mtoto wao alikua kalala hajala kwa hio wanaomba msaada wa nauli iwafikishe
Me nikawapa pesa kias nikaondoka baada...
Mimi ilinitokea kama yako japo tofaut kidogo, kuna rafiki yangu alikua anasoma bweni shule tofaut siku moja akawa kamtapeli sim kiubabe mwanafunz mwenzake akanipogia cm kua anaomba niende akanikabidhi cm kwan walimu wangemkamata angekua matatizon mimi bila kujua ni nini kilikua kina endelea...
Kwanza binafsi sipendi kabsa kwenda sehemu zenye mikusanyiko km hio wala sijui 9 December sijui sherehe za uhuru kwa sababu lolote laweza kuotekea, inapokubidi sana kwenda nenda na mwenzako alaf msivae kihuni jins za kuchanika chanika achana nazo piga tai
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.