Rais Hussein Mwinyi kumteua Charles Hillary kuwa Mkuu wa mawasiliano Ikulu ni kuwadharau wazanzibari.Wazanzibari wapo kibao ambao wangeweza kushika nafasi hiyo.
Labda kilichokusukuma mpaka ukamteua ni kufanya kazi kwake BBC.Muulize Rais mstaafu Jakaya kwa nini alimuondoa Tido Mhando TBC? Dr...
Hakuna kitu kama hicho.wanaohudhuria vikao vya Baraza la Mawaziri ni wale waliokula viapo.sasa hawa 2 wamekula viapo wapi?Waambie ukweli waende majimboni kwao.Huku ni kupoteza kodi za wananchi.
Herufi kubwa ndogo kati mambo ya kizamani.wewe unaishi dunia hii au upo sayari nyingine?zamani wenye miandiko mizuri shuleni mnazawadiwa,siku hizi hata kalamu situmii.ualimu wako mpelekee mkeo au wanao.
Kwa ufupi tu naomba vyombo vinavyohusika na michezo na rushwa wachunguze mkataba katika ya TFF na TV moja kurusha live matangazo ya ligi kuu tena kwa miaka 10. Gharama walizolipa ni takriban billioni 200 na ushee. Duniani kote hakuna TV moja inayopewa haki bila ya kuzishindanishi tv...
Kwa kifupi tu, sie wanasimba kwa nini tunakuwa wajinga kiasi hiki? Huyu Mohamed Dewji alinunua hisa 49%kwa bilioni 20 shilingi za kitanzania. Hadi leo hakuzilipa.Kinachoendelea ni kuchagua wanachama 800 kuwaweka ukumbi wa kisasa wa mikutano wa Jakaya Kikwete,na vibaraka wake kuanza kutoa maneno...
Waziri wa Afya Dr Gwajima Katika hotuba yake aliyoitoa kwa watumishi ambapo aliwaonya kuhusu kununua damu au kwa watumishi kuuza damu na kudsi ni kosa hivyo anatoa eti mwezi kwa yoyote atakayebainika atachukuliwa hatua kali za kisheria.
Cha Ajabu akiwa kama Waziri wa Afya kwanza Watumishi Wote...
Hawa wanaomtaja Abood wana ajenda ya siri kisiasa.Kwa kuwa huyu jamaa maarufu sana kimbilio la wanyonge huko mji kasoro bahari,inaelekea anawajua wote.Nimewahi kumwona ni mstaarabu,mtaratibu lakini mwaminifu sana.Unaambiwa wananchi wa jimbo lake anawapokea mpaka nyumbani kwake kusikiliza shida...
Hakuna ubaya kwa timu yoyote ya michezo kupelekwa Ikulu kuzawadiwa ikiwa kuna umuhimu. Cha ajabu TBC wapo live Ikulu wakiwaonyesha mabinti wa timu ya Taifa ya Wanawake walioshinda COSAFA CUP ambapo timu nyingi zilizoshiriki zilikuwa B Teams kwa sababu A teams zilikuwa zinajiandaa na mashindano...
Wewe mpumbavu na mjinga wa mwisho.Angalia takwimu za Rais Samia.Zinashangaza ulimwengu.Wewe ni mfuasi wa sukuma gang.Mmeshindwa.Mama Samia ana miaka 10 mingine kutuongoza.utake usitake.
Mnataka mstake, Zanzibar ni nchi na inshaallah kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu siku itafika itakuwa na Waziri wake wa Kigeni,Waziri wa Mambo ya Ndani na Waziri wa Ulinzi. Mnaosema wabara wakafanye kazi Zanzibar hiyo ni ndoto ya mchana.
Katika makubaliano ya Muungano kati ya Hayati Mwalimu na Hayati...
Huyu mpuuzi.Kinachotakiwa ni ajira.ukichanganya Abood ana wafanyakazi zaidi ya elfu.hana vibarua.familia ngapi hizo??Viwanda vya kisasa haviajiri hata wafanyakazi 50 kutokana na teknolojia ya kisasa.
Wewe unayejiita maro ni mchagga.kwa mujibu za takwimu za brela Abood anaongoza kwa kuwa na mabasi 450.nenda kwa takwimu sio chuki.wewe ni mchagga.waulize wenzio watakwambia.
Natanguliza shukrani zangu kwa JamiiForums kwa kazi nzuri mnayoifanya. Yaani mpaka nje ya nchi Watanzania na wasiokuwa utawakuta wanasoma na kutoa maoni katika mtandao huu maarufu. Hongereni sana.
Sasa nije kwenye mada yangu. Sisi Wazanzibari tupo vizuri sana tena sana katika lugha zetu mbili...
Tumefungwa tena na kutolewa katika mashindano ya ligi ya mabingwa ya Afrika baada ya kufungwa tena 1 bila hivyo matokeo kuwa Rivers United 2 Yanga 0.
Viongozi wote wa Yanga inabidi wajiuzulu na mdhamini GSM aende zake,wanachama na wapenzi tumwombe shujaa wetu MANJI ARUDI KUTUDHAMINI.
Sababu...
Supermarket maarufu iitwayo Game imefuata nyayo za makampuni mengine kwenye MALL za Dar hasa Mlimani city kufunga biashara zao na kuondoka nchini.
Kuna tetesi DSTV ambayo zipo Channel maarufu za supersports nayo ipo njiani kufunga biashara zake nchini kutokana na kushuka kwa mauzo ya vingamuzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.