Search results

  1. E oxygen

    Swali kwa Viongozi CHADEMA: Kumwombea Mbowe ni sehemu ya ibada kwa Mungu yupi?

    Njia za Mungu si kama za wanadamu yeye ndiye muhukumu wa haki hapangiwi na kiumbe chochote alichokiumba.
  2. E oxygen

    Humphrey Polepole: Shule ya Uongozi

    Kapona labda huwezi jua
  3. E oxygen

    Kesi ya Aikaeli Mbowe imeibua mengine yanayoendelea ndani ya regime. Shahidi wa pili ni Inspekta Mahita

    Mungu amejibu maombi ya wanawake waliosali mahakamani pale
  4. E oxygen

    Waziri Kijaji: Sitakuwa mvumilivu kwa yeyote atakayeandika habari zenye viashiria vya uvunjifu wa amani

    Asisahu kushoto inakwendaga sambamba na kilia, uzito ukiegemea upande 1 mtumbwi unapinduka.
  5. E oxygen

    Eti Mbowe alitoa laki 6 kufadhili ugaidi. Seriously?

    Hivi mtu akilogwa na wachawi anakuaje, ningependa kujua hivyo isijekuwa tunawaonea watu hapa. Vilogo vingine huwenda HD
  6. E oxygen

    Siku Rais Samia akigundua wanawake ndio wanaompinga zaidi, atawapigia magoti wanaume

    mwanamke yake ni tamaa, mfano kwa tamaa yako ya mwili mumeo atakutawala, sasa hiweke kwenye pesa au Mali nk. Na kama tamaa yake sio kwako au pesa au Mali hamumtawali. kwa mujibu wa sayansi ya biblia.
  7. E oxygen

    Watu walioratibu na kutekeleza kumpiga Risasi Tundu Lissu, ni Waovu kuliko hata Shetani Mwenyewe

    Mi nazani Mungu alitaka kuwaonyesha waja wake yeye zaidi ya shetani, kama hataki ufe haufi hata iweje, Julius ni shaidi ktk hili.
  8. E oxygen

    Mkuu wa Mkoa, jukumu la kuwaondoa Wamachinga ni lako. Usilikwepe

    Mungu anisamehe sana, nilikuwa nafikiri ni kwanini korona imepata kibali cha kupunguza idadi ya watu wengi namna hii hapa duniani, kumbe ni miiba na michongoma ndio inaondolewa shambani wala sikujua. Natania anyway.
  9. E oxygen

    Godbless Lema: CHADEMA imepata taarifa za Serikali kutaka kulazimisha kumfunga Mbowe kimkakati

    Humu duniani hakuna tarifa nzuri kama tarifa mbaya, mkikubali kuwa ni gaidi iwe kweli au si kweli, hiyo program ya utali ni bure coz hakuna mtali atakaye taka kuja ili apate tabu ya kulipuliwa. Na nchi jirani wakanufaika na ujinga wa watu wachache. Mtaelewa siku kilogo kitakapo expire akilini...
  10. E oxygen

    Mambo mabaya kwenye utamaduni wa Wasukuma

    Manangwa ndipo waliposheleweshana kupata akili natani anyway
  11. E oxygen

    Generation ya kuanzia 1990's ndiyo italeta ukombozi wa kisiasa hapa Tanzania

    Hao waliokula mahindi yaliyoekewa mbolea ya viwandani ndio unawasifia? Subiri kidogo utawajua kiundani jinsi walivyo mbona utafurahi na roho yako
  12. E oxygen

    Kiongozi wa machifu Tanzania ataka Serikali iwatambue rasmi machifu

    Alafu watake kusujudiwa ukikaidi unatupiwa mizimu feki aka ulonzi sio!?
  13. E oxygen

    #COVID19 Mimi naona Rais Samia anadanganywa kuhusu takwimu za waliochanjwa!

    Uyoga umeota tena, yaani ngoma inarudiwa teeeena mbona kazi ipoo.
  14. E oxygen

    Ni kosa kubwa sana kwa askari kunyang'anywa silaha yake

    Kuna aina 8 za kunyang'anya silaha za moto na 21za mchanganyiko sasa wewe unasema aina ipi?
Back
Top Bottom