mwanamke yake ni tamaa, mfano kwa tamaa yako ya mwili mumeo atakutawala, sasa hiweke kwenye pesa au Mali nk. Na kama tamaa yake sio kwako au pesa au Mali hamumtawali. kwa mujibu wa sayansi ya biblia.
Mungu anisamehe sana, nilikuwa nafikiri ni kwanini korona imepata kibali cha kupunguza idadi ya watu wengi namna hii hapa duniani, kumbe ni miiba na michongoma ndio inaondolewa shambani wala sikujua. Natania anyway.
Humu duniani hakuna tarifa nzuri kama tarifa mbaya, mkikubali kuwa ni gaidi iwe kweli au si kweli, hiyo program ya utali ni bure coz hakuna mtali atakaye taka kuja ili apate tabu ya kulipuliwa. Na nchi jirani wakanufaika na ujinga wa watu wachache. Mtaelewa siku kilogo kitakapo expire akilini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.