Nimeshangaa sana hii barabara kukosa tena kwenye bajeti ya mwaka ujao. Sasa lami itakuwa ikiyatoa mabasi stand yakapita mbezi high school kidogo lami inaishia hapo.
Kwa kweli ni maajabu sana. Hivi kwa ubusy wa ile barabara kweli unaweza kuiacha kwa miaka kumi yote??!
Kwa kweli nimeshangaa na...
Wapendwa habari ya mapumziko. TANROADS nawasalimia sana kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Naiomba wizara ya mali asili na utalii iziweke barabara za TANROADS mkoa wa Dar es Salaam katika list ya vivutio vya utalii, make na zenyewe ziko kiasili kabisa.
Barabara ni ya TANROADS tangu...
Nilichogundua hii barabara ni biashara ya watu. Haiwezekani ukwangue barabara tu alafu ulipe na baada ya siku tatu mashimo tayari. Tuwskwe wazi basi kwani wanaokwangua hawatakiwi kuweka vifusi?
Hizi taa mwanzoni zilikuwa zinaruhusu sekunde angalau kuanzia sitini. Kwa sasa wameamua kuweka sekunde ishirini.
Hii kwa kweli imerudisha foleni ya zamani. Sasa hivi foleni inaanzia njia ya kwenda UDSM. Huyu aliyeset hizi taa ana makusudi gani?
Hawa wanatapatapa tu, undeni Chato yenu iwe mkoa bila kuzigusa mikoa mingine. Tafuta clip ya JPM (RIP) akiwa Tunduru alafu mheshimiwa diwani na wewe utuletee hiyo aliyotoa ahadi hapo Chato iwe mkoa. Kwanza Chato ina hadhi gani ya kuwa mkoa?
Alafu hiyo ni barabara ambayo iko busy sana kuliko hata zile nyingine, wakikwangua baada ya wiki tabu inaanza upya. Sijui hii kwangua kwangua mjini inatoka wapi.
TANROADS, kuweni na huruma aisee. Hivi huku kibamba mnajua mnamiliki barabara mbovu sana?
Je kazi mliyopangiwa ya kuassess barabara na kupeleka mapendekezo kwa Mh Rais mliifanya?
Ni lini mtaacha hii kwangua kwangua na kumwagilia maji barabara badala ya kutafuta suluhisho la kudumu?
Kwa kweli...
Hivi hili jimbo liko Dar au nje ya Dar?! Make si kwa ubovu wa barabara. Jimbo zima lami ni changamoto. Kuna barabara zimetengwa kwa ajili ya TANROADS na zina connections nzuri sana ila kuzijenga sasa imekuwa changamoto.
Mfano barabara inayotokea mbezi mwisho kuunganisha mpaka bunju kupitia...
Lakini cheti cha ndo kinachotolewa kanisani na kusainiwa na pande zote ni cha serikali. Basi irahisishe kwamba wao wabaki na dini zao lakini kiserikali ndo ivunjwe na cheti cha ndoa kilichotolewa na mfungisha ndoa kwa niaba ya serikali kifutwe na kirudishwe serikalini. Nao ndoa iwe imeisha...
Kwa kweli hii barabara ya Mbezi High school kwenda mpigi magoe ni changamoto kubwa sana. Na hii ingesaidia sana tena sana magari yanayoenda kaskazini kupitia bagamoyo make ni bonge la shortcut. Barabara ni ya Tanroad lakini kuijenga ni mbinde sana. Hili jimbo la Kibamba lina lami chini ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.