Ninataka kusoma afya ila siwezi kuona damu, nimemaliza PCB div 1.8 Kuna course gani za afya ambazo hazihusishi kuona damu?
Matokeo yang ya form 6 ni phy C chem B bio C
Nimemaliza mwaka huu 2021 PCM division 2.12 na matokeo yafutayo:
Physics D
Chemistry S
Advance mathematics B
Naombeni ushauri ni course gani itafaa kwa ufaulu huo.
Mkuu hii ratiba tumeambiwa na shule kwetu ati ni feki kwasaababu tu sio baraza la mtihani wenyewe walioitoa wanasema hakuna chochote kilichowekwa kwenye website yao kwa Ivo sio wao walioitoa hio ratiba
Hivi ni kwanini NECTA hawajatoa ratiba ya mtihani wa kidato cha sita hadi leo. Tunaelekea mwezi wa tatu Tena na hakuna taarifa yoyote juu ya mtihani.
Na kawaida necta hutua ratiba toka mwezi wa kumi na mbili au mwezi wa kwanza.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.