Pole sana kaka, hakika siyo jambo jepesi kulipokea kwa mwanadamu yeyote yule.
Saratani ikiwa hatua hiyo mara nyingi matokeo huwa kama alivyoeleza daktari wako hata hivyo
Hakuna awezaye sema kwa hakika muda halisi wa kuishi kwa mgonjwa wa saratani, ila anaweza kutumia utashi , uzoefu na...
nakubaliana na wewe kabisa, ndugu yetu huyu anaugonjwa wa akili na ninachomshukuru Mungu bado anao uwezo wakujua analo tatizo, na kutafuta msaada.
naomba msimkejeli na kama kuna mtu anayemfaham basi achukue jukumu lakumpeleka pale mawenzi hospital kuna kitengo cha magonjwa ya akili atatibiwa...
To be honest I felt very bad to see the way people think about us, it's like a double edged sword passed through my heart! Any way I think that is one many who have been mistreated by medical personnel.
its good for us to be evaluated as well it give us an insight of our mwenendo. I urge all...
ukitafakari kwa undani utagundua kuwa prof. kapuya ana ugonjwa wa akili unaohitaji matibabu ya haraka, ni mtu hatari katika jamii,na inawezekana wako wengi wenye ugonjwa kama wa kwake.
kisayansi tunaita pedophile.= anapata pleasure pale anaposababisha maumivu kwa mtu mwingine tena watu haw...
wanasiasa wao wanajiweka katika mazingira mzuri ya maisha, wafanyabiashars kadhalika, serikali imesahau huduma muhimu, watendaji wa afya wakisema hali siyo shwari kwao n kwa jamii watu wanawabeza nakuwaona wabinafsi.
kila mtu anataka maaisha bora na unapobanwa wapaswa mbana unayemuweza so...
i like the way you have summarized the whole staff!
we want modest people who real feels the needs of the people they serve, he deserve to put tools down and go back to university of dar es salaam, I think that is where he belongs!
pole sana mgonjwa naomba asamaria walioko karibu wampatie nauli naa fedha zakujikimu kidogo apate kwenda dar, ninachojua matibabu ya saratani katika taifa letu yanapatikana katika kitengo cha saratani ocean road ila yampasa mgonjwa kupita katika hospitali yoyote ya rufaa au hospitali ya taifa...
mpe pole na hongera kwa mbali, naomba umtafutie chuo cha maabara au cha clinical officer, waweza kwenda KAM chuo cha afya kiko kimara au wizarani kwa msaada zaidi. ataweza anza na diploma with time atapata shahada na ajira kwa kada hizo ziko nyingi sana na pia anaweza kujiajiri na kukuajiri pia!
pole Dr, wenye akili wameona ulichokiandika, uko sahihi kabisa, na baba huyu kweli insight yake imepungua, hakunan mzazi anayeweza kufanya hivi akiwa na akili timamu, ngekutumia hata wazee wenzake au rafiki zake, maana amelipwa 20,000 wakati dowa aliloweka halitofutika milele.
ninaweza hisi...
ni jambo jema hapo ni muda wa watu kufanya mambo binafsi yakuwaingizia vipato, hata hivyo kuna kazi nyingine ambazo watu hawajui mapumziko ni nini, hata kama yako kwenye katiba wao ni kazi tu, ukilala unaleta madhara kwa wengine wengi!
vilaza ndiyo wenye kulala!
mtoa mada mbona hujitokezi kutueleza kilichokusibu hapo jka, kwa hakika ukitoka nje ya nchi ukapita jka waweza fikiri watu hawafanyi kazi ila jaribu kuainisha mazingira ya kazi ya nje na hapa kwetu, kiwanja i kidogo,idadi ya ndege haiwiani na facilities zakuhudumia abiria etc, hivyo hata umlete...
ngumu sana kuamini habari hii, inawezekanaje mtu akamatwe apelekwepolisi bila kuonyesha dalili ya wasiwasi! hatakama amekubuhu kiasi ganini ngumu sana, hata lipsy kukauka hakuna!
Prof Karim ni mmoja kati ya waalimu wa muda mrefu wa fani ya udakatari pia ni mzalendo sana kwa taifa hili licha yakuwa na asili ya bara la india, ni mstaafu na mkongwe wa tiba ya watoto hivyo kazi yake kubwa ilikuwa kufuatilia kwa karibu mapigo ya moyo ya watoto hao wakati wote wa operation...
mkuu wa kaya ameweka autopilot hivyo ni wakati kila mtu kutumia mbinu anayoiyona rahisi kwake kufanikisha malengo yake kwakuwa walimu nao wanatamani watoto wao wasome ST and english medium schools na kula na kunywa vizuri kama wanavostahili watu wengine.
hakuna mwalimu ambaye ameteuliwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.