Mkuu hongera kwa kufa maana umetoa ushuhuda wa moja kwa moja kwa kuwa umepitia hatua hyo muhimu.ngoja sisi marehemu watarajiwa mda wetu ukifika tutakuja kutoa ushuhuda hapa kama wewe ulivo fanya .barikiwa sana [emoji1488][emoji1488][emoji1488]
Ha ha ha kaka umenikumbusha mbali kinoma,huyo onesphory alipiga 1.9 na sasa hiv yupo huwawei dubai ila leodgard ndo alipiga 1.7, unamkumbuka deo ngatunga,omary maafro? Lumuli?Huyo mchwampaka aliniotea siku 1 nimechomolea uniform alinilamba fimbo za kutosha nilitamani nimuue kwa hasira...
Nimeku pm tena labda cheki current au n pm wewe any text kama nitapata ujumbe nitajua shida ipo kwangu na nitawataarifu wenye jukwaa lao jf warekebishe
Kwa haraka haraka wanaonijia kichwani ni onesphory paul,victor korosso, amir malengwe,octa javet, mayagi nyega, mtundi chacha, shomary ahmad, isack, nikiwakumbuka wengine nitatiririka hapa mkuu huyo jumanne kama anakuja na kunipotea,miaka zaidi ya 20 nyuma si mchezo
Leo nikiwa katika mihangaiko yangu nilienda Muhimbili kumuona ndugu yangu mmoja amelazwa pale sewahaji na nilipotoka nikaamua kutembea kuona chama langu la AZANIA SEC SCHOOL (nilimaliza hapo o level mwaka 2002 ) .kwa kweli nimeamini dunia inatutupa mkono mno mnoo.
Mazingira yamechange mno na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.