Helo wanajamvi, saizi nipo kwenye daladala hapa naelekea mjini. Pamoja na pilika za ujenzi wa barabara ya mwendo kasi lakini njia imemwagiwa maji hakuna changamoto ya vumbi kwahiyo ni raha bin burudani kabisa.
Lakini hilo la kumwaga maji kupunguza vumbi halifanywi mara kwa mara jambo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.