imam alafu mwizi? kuna uimam kweli hapo? hana tofauti na wale wanaoitwa mapadri alafu wanalawiti, ila leo nimeshangaa wagalatia wote wamemwamini shigongo kisa ishu ni negative to muslim ila ingekuwa ishu nyingine ungesikia hatutaki udaku! ama kweli viumbe wagumu nyie
mnyika ndo kawaambia dawasco wasitoe maji? au mabomba yote kayaelekeza ndani kwake? achaneni kujitoa fahamu wehu nyie, toka mnyika hajachukua jimbo hali iko hivihivi, keenja alishawai kuleta maji ya uhakika?
ungekuwa na hofu ya mungu hata kidogo tu kwenye nafsi yako usingeweza kuandika huu utumbo nazani wewe utakuwa daktari mtoa mimba alafu pia wewe ni shoga
kwa cc tuliosoma masoko tunajua kucheza na hiyo kitu endapo itatoke demand ikazid supply ishu ni ndogo tu unawakatisha tamaa wateja eg: yanga vs azm chamazi kiingilio 50000 basi
binafsi mi naona liver ndo walifanya maajabu kutoka tatu bila kipindi cha kwanza hadi kuchukua kombe, ila nurdin neybet alikuwa fundi jamaa ni mmoroco yule
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.