Mpaka tutambue hili, hakuna maendeleo ya maana kisoka yatapatikana.
Matokeo ya jana pamoja na Taifa Stars v Uganda mwezi uliopita ilikuwa ni funzo lakini bado hatutaki kuelewa.
Pot 1
Al-Ahly
Wydad
Espérance
Raja
Pot 2
Mamelodi
Zamalek
Horoya
Petro Luanda
Pot 3
Simba SC
Belouizdad
JS Kabyle
Al Hilal
Pot 4
Al Merrikh
Cotton Sport
Vipers
AS Vita/ RC Kadiogo
Baada TP Mazembe kutoka, tunahitaji timu moja nyingine kati ya zifuatazo kuaga mashindano leo ili tuwe pot 2 na kupata draw nzuri
Esperance
Widad
Mamelody
Horoya
Ikiwa hizo timu zote zikashinda tutaishia pot 3 na pengine kupata draw ngumu sana
Pot 1
Ahly, Esperance, Wydad, Raja
Pot 2...
Taifa Stars jana wamefanikiwa kujitoa kwenye list ya kikundi cha wahuni wanaoliaibisha taifa.
Aliyebaki sasa ni utopolo tu, wahuni wasio na msaada wowote kwa taifa hata wakibebwaje.
Wadau hivi mnaonaje, tuwapige ban hawa misukule kuliwakilisha taifa? Maana wanaleta aibu na fedheha tu.
Kwenu...
Seriously, hivi hawa tff wana matope kwenye vichwa vyao ama??
Ni dunia ya wapi ratiba ya ligi bado haijatoka wiki chache kabla ya ligi kuanza?? Au wanataka ligi ianze december?
Ratiba za EPL, BL zilishatoka tangu June, hawa wapumbavu huku bado wanasubiri nini?
Utopolo atacheza kimataifa mwakani kwa mgongo wa Simba, cha msingi wasilete aibu kwa taifa kwa kutolewa mapema.
Kitu kingine, marefa wa kimataifa huko hawana uvumilivu na ule mchezo wao wa kihuni wa rafu nyingi, utapigwa umeme kila mechi.
Wanasimba tumefanya kazi kubwa wiki hii kutafuta yale magoli 5 tunayohitaji ili kufuzu na juhudi zetu zimeweza kuzaa matunda.
Baada ya kufanikiwa kulipata goli la nne Bagamoyo jana usiku, leo asubuhi nimepokea simu kutoka Pemba wamenihakikishia kwamba goli la tano limepatikana.
Nafurahi...
Mbona hawakususa mechi zao za azam na biashara kubadilishwa muda?
Waache kudanganya watu, utopolo wamekimbia kipigo cha mbwa mwizi kilichokuwa kinawasubiri leo taifa, na kwa taarifa tu, kipigo kipo pale pale.
Ningeomba tff na bodi ya ligi waiadhibu utopolo kwa kukiuka kanuni, sheria ifate...
Kwenye hii video mwanachama anayejulikana kwa jina la Kabwe amedhibitisha wamekusanya michanga ya wale wanahabari wote waliokuja jangwani leo mapema kwaajili ya kisomo cha albadr
Jambo kuu la msingi linalodhoofisha performance ndani ya uwanja ni migogoro isiyokwisha ndani ya uongozi wa klabu Yanga
Yanga sasa imegawanyika katika makundi makuu matatu
Yanga GSM
Yanga Msola (na menejiment yake)
Yanga asili (wazee)
Msola na genge lake pamoja na wazee wanapinga...
“Mechi ya Ligi ya Mabingwa Afrika kati yetu Simba na Al Ahly kutoka nchini Misri itapigwa saa 10:00 jioni siku ya Jumanne Februari 23, 2021. Ni mechi kubwa sana kwa Simba, Tanzania na Afrika Mashariki.”- Haji Manara
.
🖋️ “Mabingwa wa Afrika ambao wametoka kushiriki ubingwa wa dunia wamefanikiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.