Picha huwezi kuweka kwani watu tunatofautiana fikra hasa kwa wale wanaokufahamu, hii ishu ni confidential mbona haaulizi kwanini tusitumie majina yetu halisi humu jamvini. kwa yule atakayejitokeza hivyo vyote atavipata i mean jina langu halisi na picha. upo mkuu?
Natafuta mchumba mwenye sifa zifuatazo;
1. Awe mkristu mwenye hofu ya MUNGU.
2. Umri usiozidi miaka 25.
3. Mweupe, mwenye umbo la wastani (average), mrefu wastani
4. Elimu kuanzia form 6 na kuendelea
5. Mwenye msimamo katika maamuzi
6. Awe mfanyakazi wa kuajiriwa au kujiajiri
Wasifu wangu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.