MAKONDA AAINISHA MPANGO KAZI WA VIPENGELE SITA:
LETS MAKE ARUSHA GREAT AGAIN!
April 8, 2024
Arusha
⦁ Mapokezi yamenitia moyo wa kuwa mtumishi mwema na mtetezi wa wanyonge. Kamwe sitaungana na fisadi kukandamiza haki zenu, nitakuwa sauti yenu mpaka ukamilifu wa dahali
⦁ Nawashukuru kwa...
Padre Joseph Kariuki siku za uhai wake
Padre wa Kanisa Katoliki Parokia ya Ruai, Nairobi, umri miaka 43, amefia gesti akiwa na ji binti la miaka 32
watu huwa tunajidanganya mtu wa miaka 40, 45, 49, eti bado nae anaitwa kijana...
haya vijana .... tujihadhari na kupenda sifa za "kupeleka...
Laughing stock of the world. Kituko cha dunia. Jinsi Muafrika asivyojijali, asivyojiheshimu, asivyojipenda, asivyo na upeo.
Rais aliyepita alisema mkimkamata mtu wetu huko duniani na madawa mnyongeni juu kwa juu, hatuna shida.
Imewekwa Vienna Protocol kulinda mabalozi wa mwezio. Wewe...
Ni kuhusu kipengele cha mkataba kinachosema Rais akitaka kujenga chochote karibu na maeneo ya DP World kama vile hospitali karibia na bandari ya Isaka basi atatakiwa kwanza kuomba kibali cha DP World. Wakati Rais huwa ndio anaeombwa ardhi, sio yeye kuomba.
Tundu akauliza hii ni akili au...
Akiwa anajibu kero za wananchi kuhusu stendi ya Arusha, Rais Samia Hassan leo amesema "Kuna mradi tunaundaa wa kuomba hela hizi za stendi, tukipewa tuna nia maeneo mengi yawe na stendi za kisasa"
____________________________________________
Magufuli anabiringika kaburini.
Tulikuwa tunaambiwa...
CBS NEWS
Wakati Mbunge Edward Cruz akishutumiwa vikali kwa kujijali mwenyewe na familia yake kwa kuwakimbia wananchi wenye majanga kwenda safari ya mapumziko kisiwani Cancun Mexico maelfu ya wakazi mkoani Texas Marekani wamejikuta hawana maji kufuatia mabadilko makubwa ya tabia nchi.
Baadhi...
Kama ilivyokuwa kwa mkoa wa California mnamo mwaka jana sasa mambo si mambo viunga vya Texas ambapo mahitaji ya nishati ya umeme yamezidi ugavi, na miundombinu imeelemewa.
Watu wapatao milioni mbili wako gizani. Viongozi wa kisiasa na kijamii wamewaomba wakazi wa baadhi ya viunga vya mkoa huo...
Doto James, Bwana Malipo Mkuu wa serikali
Ni kaa la moto!
Hakuna mtu anaetaka kuligusa.
Wazungu wanaita "third rail," kwa sababu reli ina mitarimba mitatu: miwili inatambaa sambamba ardhini, yenyewe unaweza kuigusa, kuichezea na hata kuing'oa wakati wowote ili mradi treni halipiti na...
Kutokana na mahitaji kuzidi uwezo wa ugavi, umeme utakuwa ukikatwa muda wowote kuanzia saa tisa alasiri mpaka tatu usiku kwa kupokezana baina ya viunga tofauti tofauti vya mkoa wa California, kwa mujibu wa Mheshimiwa Davin Newsom, Mkuu wa Mkoa.
Bwana Newsom ameziomba kampuni zenye mivyombo...
Rais Kenyatta akiwa Chato kasema dawa ya kuondoa ukabila na kubaguana ni kuoleana ili kusudi mtoto wa mseto asijijue yeye ni Mtanzania au ni Mkenya...
How ridiculous...
Huwezi kusikia Rais wa dunia zinazojitambua, dunia za kwanza akisema utumbo kama huo wa tuzae michotara ambayo haitajua...
Biashara inapokuwa kubwa, makampuni huwa yanaanzisha kitengo kinaitwa compliance department na huajiri wataalam wa kuhakikisha biashara haibughudhiwi bugudhiwi na serikali kwa kuvunja vunja visheria vidogo vidogo na vikubwa.
Diamond jana, Desemba 15, akiwa Mwanza kaimba tena "mambo ya Amber...
Mwandishi: Kamanda, zaidi ya Mo bado kuna Ben Saanane, Azory Gwanda, Alfonse Mawazo, Simon Kanguye, Godfrey Luena, Daniel John na wengine wengi waliotekwa, kupotea ama kuuliwa na wasiojulikana. Unalizungumziaje ?
IGP Simon Sirro: Suala la Ben Saanane kutekwa tumelizungumza sana, kama watu...
Mkurugenzi Jean-Marc Janaillac aliyejiuzulu
Bruno Le Maire, Waziri wa Uchumi wa Ufaransa, amekataa wazo la kutaka serikali iliokoe shirika la ndege la Air France katika kipindi kigumu cha migomo na hasara na akaonya shirika linaweza kufutika siku za usoni iwapo watashindwa kushughulika na...
“MIMI NI KIONGOZI WA WANYONGE”
Hivi tunaposema mtu mnyonge tunamaanisha mtu wa kipato gani labda? Hivi kuna poverty line Tanzania, na ni shilingi ngapi kwa mwezi?
Au tukisema ni ambae hana sauti, huyo mwenye sauti yeye huwa anaongelea wapi? Binafsi mimi sina namba ya Waziri wala mbunge, wala...
Bloomberg News
SOUTH AFRICAN AIRWAYS imeiomba mmiliki wake, serikali ya Afrika Kusini, iwasaidie fedha taslimu za kuiokoa ( cash bailout ) kuiepusha kufunga biashara.
SA Airways imeelemewa na gharama za uendeshaji ( operatng costs) pamoja na kuhudumia malimbikizo makubwa ya madeni kutoka...
Kwa mwanahistoria au muhenga aliyekuwepo au yeyote aliyehudhuria msibani kama labda walisomewa wasifu unaotoa mwanga juu ya hili, naomba kuuliza:
Huyu Marehemu aliyeagwa Karimjee na heshima za kitaifa na kila mtu nani anaweza kutueleza amefanya nini cha distinction katika nchi hii?
Inaonekana...
Ni kweli kitendo cha kuwatia kizuizini miaka na miaka bila mashitaka mashehe wa Zanzibar wasiotaka Muungano ni kitendo cha kionevu na kifashisti. Inasikitisha kuona tumerudi kuwa na political prisoners ambao walishatoka magerezani toka zama za JKN miaka ya 80.
Lakini katika kutetea mashehe...
Polisi waliofika Jamii Media wame confiscate nyaraka za usajili wa BRELA and there is a compelling reason for that.
Labda tusome kwanza regulation iliyomkamata Maxence Melo:
Electronic and Postal Communications Regulation, 2011, Section 10 (1)
Any public or business entity in Tanzania shall...
Waziri Mpango na Rais wanabisha kwamba hali ya kiuchumi ni mbaya, wanaodai kuna ukata ni wapiga dili waziri profesa anasema, lakini hajasema kwa utaalam wake hali nzuri iliyopo ameipima vipi au inapimwaje?
hivi hali ya hela kupungua kwenye mzunguko inaitwaje kitaalam/kichumi?
ili na sisi...
Habari za mida ndugu wadau wa maendeleo, mazingira, ma siasa, ma teknohama, mahusiano na mapenzi.
Huwa najiuliza sana kuhusu wapigaji picha hapa nchini. Ni kwamba hawana camera za ukweli ama lenzi zao ni za kichina ama ni kwa nini ni lazima wajichomeke katikati ya tukio mbele ya uso wa mtu ndio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.