Sina mengi ila kikubwa ni kwamba nilioa at late 20’s mwanamke wangu nilimkuta bikra tena nilikutana naye leo kesho nikaweka geto,kuja kukuta ni sealed ila sijawahi kutoa bikra so ya kwanza ni kwa wife.lakini kikubwa ni kumtanguliza mungu kwa kila jambo maana mi kwenye mahusiano sina historia...
Mtoa mada, jaribu kutumia akili zaidi na si hisia ,mahusiano si chanzo cha ajira wala kipato ,mahusiano ni kusaidina .
Nikuulize swali na je wale ambao wenye boyfriend vilema au mahispitalini wasiwe kwenye mahusiano kisa awawezi kuwa hudumia. ?
[emoji848][emoji848][emoji848] tatizo kwangu mapenzi nimeyaweka priority ndogo sana, niko zaid kutafuta hela bcoz historia yangu, ya mapenzi ni worst kwaiyo nikukumbuka ni maumivu tu[emoji174][emoji29]! so
I don’t need love i need more money kwa sasa .!
Kijana mwenzangu naona umri tupo range sawa ila ndugu unafeli, Kwa mwanamke tunawekeza vitu ambavo atuwazi kuvipoteza kama kucha,nywele n.k ,Mi mpaka sasa nilipofikia ata demu wangu aniambie kesho tuachane na mjibu tu”POA” .Mwanamke si mtu wakumuamini ata sometime mama ako usimuamini kwa kila...
Pole kamanda ila iyo ni dear NGono
Dawa ake. : cerftiaxozone start 1g iv
Azithromycine 500mg OD for 5/7 days
Nenda hospital watakupa ivi ila kama kama Kam nenda pharmacy
Sory lkn I'm a medical personer kwa uzoefu bado Bila vipimo
We Lea tyu mtt Kwan unauwakika gani kuwa aliyekuelea mpk apo ndo baba ako wa halali. We kuwa mpole unaweza kuwa unakataa ata raisi wa badae kwaiy kaa kwa kutulia
Sent from my MRD-LX1F using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.