kiwanja kinauzwa
boko vikawe.
ukubwa ni mita 20 kwa 20..
bei ni mil 11 Tsh.
documents zote za kiwanja zipo kamili.
kwa mawasiliano zaid piga
0655220039
0717424968
ahasante
1- Mafisadiii wooote ndaaaan yan nafunga kabisa.
2- Wabunge wooote hakuna tena ma VX wala standing or sitting allowance cjui yan posho hakuna tena, ''ubunge ni wito''ndo itakua ivyo.
3- Rudisha migodi yote kwa wananchi.
4- boresha miundo mbinu, afya na elimu nimemaliza vingne vita seto baaadae...
Angalia video za mzk ambzo wana dance
tafuta step up 1 up to 3 angalia
chek ata youtube pia.
kwaito ukienda club tu utazijua step chache.
Kma una aibu pga mambo utapata mizuka ya kudance ukiwa viwanja...
elimu ya chuo japo iko applicable sana kwny maisha ya kila siku sema stail ya ufundishaj na ugawaj notsi mhhh uko ovyo tu so mwendo wa kumeza ukipenda elewa kwa faida yako ila unakuta mwalimu anataka uweke alicho fundisha sasa wategemea nn apo zaid ya kumeza ukijidai umeeelewa sana ukaleta na we...
hongera kwanza maana ii shughuli nataman sana kuifanya bado cjpata muongoz wa gharama za kufanya haswa kwny kuchimba bwawa la samaki..
mkuu nahitaj kukuuliza maswal mawil matatu ngoja niku pm.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.