Tafuta eneo zuri kwanzia heka 10
Lima mazao/matunda yafuatayo
Nazi-hizi chukua mbegu ya kienyeji mche mmoja 5000-10000.
Michungwa-miche 1500-2500
Malimao-1500-2500
Ndimu- 1500-2500
Maembe dodo-2000-3000
Haya ni moja ya mazao/matunda ambayo hayahitaji sana usimamizi ya karibu,pia ukipata mtu...
Nadhani ungeanza Kwa kununua ng'ombe ambao hawana afya nzuri,uwatunze vizuri na kuwanenepesha then uuze. Vijijini kwenye minada utawapata kwa bei nzuri tu,mfano kuna wanaouzwa kuanzia 250000-400000. Ukiwa na uhakika wa malisho,maji na dawa ndani ya miezi 4 unauza na kuongeza wengine. Ndama...
Shida kubwa ni uongozi,mwauwasa ndio moja ya taasisi ya maji kwa miaka hii iliofeli kulinganisha na namna ya upatikanaji wake wa maji. Sanga alijitahidi sana kuingoza hii taasisi lakini baada yake hawa waliofuata ni bure kabisa. Tazama mradi wa Butimba,tangu unaongelewa kuanza kazi mpaka leo...
Bado una safari ndefu inakuuubiri mbele yako,kubwa shukuru sana Mungu amekupa mlango wa mafanikio na umeishika pesa na kuitawala uwezavyo. Mengine ni mapito ya kawaida kwa binadamu alie hai hapa duniani.
Jiulize usingepitia hayo,ungejifunza kweli namna ya kuishi na binadamu? Narudia tena...
Ndio maana wazee miaka ya nyuma walitusisitiza sana kuchunguza unapooa kabla ya kuchukua hatua ya kutambulishana.
Hili ni somo zuri umetoa,na moja ya experience ngumu watu wanapitia maishani na hawaweki wazi.
Vijana waliotayari kuingia kwenye hii taasisi ya hiari,huu uzi umekuja wakati...
Hawa ndio maprofesa walioacha kufundisha,hivi kweli hili taifa litakuja kubadilika kama tuna aina ya wasomi waongo,wazandiki na wanafki kama huyu kweli?!
Ile sheria ya China,ya kiongozi mwongo na mbadhilifu kunyongwa ingeletwa bongo,hivi unadhani ni kiongozi gani anepona?
Huyu ndio alituambia...
Ishu ya mahusiano yanamhitaji sana Mungu kabla ya akili,kuna vitu nje ya ulimwengu wa mwili usipovijua,hata uwe na akili za GPA 5.0 utafeli. Akili ije baada ya Mungu,utafurahia maisha,mihemko na tamaa zimeponza wengi.
Baada ya kujifunza mambo kadhaa kutokana na makosa kwenye ujenzi,nakushauri uanze na fence.
Makadilio ni tofali 2000-2500
Nondo 15
Cement 25 NK. Makadilio pamoja na geti sh 7m
Then Anza ujenzi wako.
Msingi na jamvi 5m
Boma zima 5m
Kuezeka hapa inategemea unapandisha bati kwa mita ngapi kwenda...
CCM ndio sababu.
Tumetengenezewa mfumo wa kuwa kama "Nyumbu".
Yaani imefika mahali wema sepetu anaweza kubadili upepo wa nchi kwa scendo,mambo ya msingi hayana wachangiaji,mambo ya kipuuzi ndio wengi wanapelekwa na mafuriko.
Mimi nadhani sio wabishi,tumekuwa wajinga,na hatujui kama ni...
Kuishi na mtoto wa mtu bila Baraka za wazazi wake ni shida,hapo ukubali umekosea. Ila ishu ya tabia,unatakiwa ujilaumu mwenyewe,mwanamke kabla hujaanzanae mahusiano ni vyema kujua vitu muhimu ili visikuumize mbeleni.
Mfano
Tabia zake(mienendo yake)
Imani yake(hapa naanisha namna anavyoweza...
Tunaendelea kujifunza.
Biashara ni uthubutu,imani,bidii na uvumilivu. Mungu atusaidie wapambanaji wote tusikose pesa ya kujikimu na kuhudumia wapendwa wetu.
Bado Arteta anaendeshwa na kiburi na ujuaji usio na tija,hii gemu ukiondoa goli la off side,bado kiungo kilikuwa ni mfu sana, West ham na Newcastle wamemuonyesha namna tofauti kocha anatakiwa kuutizama mpira. Bado arsenal ina mlima wa kupanda kama itaendelea kutegemea aina ya wachezaji kama Kai.
Huwezi mchunga binadamu,kama akili yake ipo kuamini aina fulani ya maisha,hii aichagui jinsia.
Tupunguze sana matarajio kwa wenzi wetu,kama ulikubali kumuweka ndani naamini ulimchunguza na kulidhika,haya malalamiko inaonekana kuna mahali unafeli kama mwanaume.
Umeongea vyema kwa sehemu yako, ila maisha yako tofauti sana na maneno/nadharia tunazoambiwa na kusikia.
Hakuna asiependa kuwa tajiri, au uchumi wake uwe bora, changamoto ni namna ya kuendelea mchakato wa kukua kiuchumi. Elimu yetu imewafanya wasomi wengi wawe waoga kuanzisha miradi ya...
Maisha ni siasa,na siasa ndio maisha yenyewe.
Ukitaka usisikie wala kufuatilia siasa basi inabidi uondoke duniani (uwe mfu)kinyume na hapo utaendelea kuona,kusikia,kuumia,kufurahia siasa zetu hizi za Africa zilizojaa vimbwenga vya kila aina
Hongera kwa Utu na upendo ulionao juu wa wale wa karibu yako.
Maisha yanatufundisha vitu vingi sana,sema binadamu tumeumbiwa kusahau.
Naomba kujua ile gari ulimpa Jane,au ulifanya utaratibu gani,na kuna kipi kikubwa Mzee Juma alihitaji kukushilikisha?
Thanks in advance
Achana na pombe mkuu,mengine yote upo sawa,wewe kama Imani yako inaona ni haramu shauri yako. Acha Sisi tunywe kwa raha zetu.
Maandiko yana ilani nyingi juu ya kunywa kileo (mambo ya walawi 10:9; hesabu6:3; kumbukumbu la torati 29:6; waamuzi 13:4,7,14; samueli wa kwanza 1:15; methali 20:1...
Alitolewa eng Antony Sanga,now huyu,hapa lazima kuna tatizo kubwa linaendelea. Why hatuoni waziri akiwajibishwa,zaidi ya makatibu ambao ni kama pambo ndani ya wizara wakati kiuhalisia wao ndio watendaji? Yaani waziri amepewa power kubwa inayomlewesha na kujiona mmiliki halali wa hiyo wizara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.