Baba Askofu Shikamoo na Heri ya Mwaka mpya 2021,
Nilitamani Sana nikushike mkono Kheri ili nikueleze haya kwa ukaribu, tafadhali pokea salamu zangu ee mtheolojia na Baba mpendwa ;
Nasikia yule Mkoloni aliyefukuzwa na Kibanga amerudi na ameji- camouflage na atandika waumini wako viboko...
Mgombea Urais kwa tiketi ya chama kikongwe Afrika, chama tawala ccm mheshimiwa John Magufuli akiwa Arusha katika mkutano wake wa kampeni jijini humo alisema anataka kuifanya Arusha kuwa kama jimbo la Calfonia
Ikumbukwe kuwa jiji la Arusha lilitangazwa kuwa ni Geneva ya Afrika miaka kadhaa...
Mheshimiwa,
(a) Je, Serikali yako ipo tayari kuanzisha uchunguzi wa vifo tatanishi, utekwaji nyara na kupotea kwa watu mfano wa Ben Saanane, Azory Gwanda na wengineo?
(b) Je, serikali yako ipo tayari kuwachukulia hatua watendaji wote wanaohusika na kuwabambikia watu kesi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.