Niliachwa kisa sina hela, nikavunga tu baada ya miezi michache kupita nikamtongoza mdogo wake akanielewa na bahati nzuri nakuta mtoto bado yupo sealed kmmk nikamtoa seal na sasa hivi dada yake anaanza kurudisha majeshi nyuma tupashe kipolo ila muhuni namkazia tu bahati mbaya mdogo wake ni pisi...
Nilikuwa na mpenzi wangu nikiwa kidato cha nne nilipofika cha tano akaniacha nikaja sikia ana date na jamaa mwingine wakati huo amebahatika kupata kazi ya kuuza duka mimi nikiwa sina ramani ndo kwanza nipo kidato cha sita.
Nilimaliza kidato cha sita nikafanikiwa kujiunga na chuo kikuu watu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.