Najua wengi wetu tunaifaham hii pubnmpya lakinu maarufu sanaa haa Tanga.
Leo nakula windhock mambo yangu yako vizuri kama si kosei hii chupa ya 6.
Ninazo 4 zinasubiri makamuzi hapa mezaji.
Kuna demu alikua ananikazia sana jicho. Malaya tu kanisirondea muda mrefu.
Nimemuita mbio kaja...
Wakubwa shikamoni, Wadogo hamjambo?
Dadaangu ameolewa mwezi wa 10 mwaka jana alikua mjamzito mimba kubwa tu. Wamehamia mkoa wa mbali anaishi na Bwana wake. Sister alijifungua mwezi wa 3 mwaka huu. Juzi juzi nimeenda kikazi nikafika kumtembelea kwenye mji wake.
Nilishaangaa sana aisee.
Mtoto...
Wakuu,
Leo asunuhi nimepata chanjo ya COVID 19 aina ya Johnson & Johnson; single dozi.
Kwakweli najiskia kujiamini sana kwenye vita dhidi ya Covid-19. Najiona ni mzima zaidi na kama vile hii vita nimeishinda.
Nimepata vi-contraindications kidogo kama vile kichefuchefu, mdomo kuwa mchungu na...
Atakayeweka ramani nzuri nitamtaka anipe namba yake nimtumie laki anipe ramani kamili yenye vipimo nianze ujenzi.
Nahitaji ramani ya nyumba ambayo haina kelele nyingi: vumba 4 viwili master, jiko na sebule. DESIGN yake iwe simple ili nitumie gharama kidogo.
Atakayeweka na makisio ya gharama...
Msaada wenu muhimu
Nimejichanga vimilioni hivyo nahitaji hiyo gari rangi nyeusi.
Nipe jina la dalali maarufu atakayenipa gari iliyokaza bodi hadi miguu kwa bajeti yangu hiyo
Au kama yupo hapa aje PM tufanye biashara.
Pia napokea ushauri ila sio kubadili aina ya gari plz bora uniambie...
Nipokeeni.
Pia ningependa kupata ndondoo mbalimbali za matumizi ya jukwaa hili kama kuna maangalizo tupeane mapema.
Mfano nikitaka mchumba napataje....
Nikitaka kutangaza nauza simu yangu nafanyaje....n.k
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.