Search results

  1. K

    CV ya Naibu Waziri wa Elimu Philip Mulugo: Je inatosheleza kusimamia majukumu aliyopewa?

    Nadhani tusipersonalize hii issue... Kwa ujumla mtu yoyote aliyemaliza undergarduate katika vyuo vinavyoaminika, mimi nadhani anauwezo wa kuwa waziri. Kazi ya waziri ni kusimamia utekelezaji na kuchambua ushauri anaopewa kma una maslahi ya taifa au implication yake. Sijajua elimu ya Open...
  2. K

    Kura ya maoni: Zitto vs Dr Slaa

    Zitto bado anatakiwa awe na muda wa kumature, anaweza kuwa kiongozi mzuri hapo baadaye, lets have at least ten years za pumpitisha kwenye testing ... IQ,uaminifu, Rushwa,. Slaa amepita vigezo hivyo vyote
  3. K

    Posho za Wabunge na Maisha ya Dodoma

    Ni hoja ya msingi, ila inahitaji mtazamo mpana na siyo kwa wabunge tu, Ugumu wa maisha dodoma tusiuweke kwa wabunge peke yao, mimi nadhani wabunge wanatakiwa wajiweke kwenye maisha ya kawaida (standard), hasa wale wanaotegemea posho tu. Fikiria mfanyakazi wa serikali ambaye naye huenda kwenye...
  4. K

    Rakesh wa KULEANA – HAKI ELIMU na sasa TWAWEZA ni KIVULI cha nani?

    Kwangu mimi nimemjua Rakesh akiwa haki elimu, then Twaweza na katika vipindi vya televisheni. I still trust the guy ambaye an argue na data mpaka unakuwa convinced something is wrong. Anachofanya ni establish niche ambayo anaifanyi akazi kuonyesha what is missing.. which is good. Naamini ni mtu...
  5. K

    Baraza la mawaziri kutangazwa wakati wowote-Ikulu!!

    Ni vema akatangaza mapema, maana sasa havi kazi hazifanyiki katika mawizara... nimetembelea wizara mbili tatu jana watu wako restless na mawaziri wa sasa pia. Halafu, hivi kwa nini Rais amiamue yeye mwenyewe kufanya mabadiliko ya baraza kimya kimya badala ya kufanya advert kwa mba atafanya...
  6. K

    Bank of Tanzania Jobs

    You can not succeed unless you try... always be optimistic. God is Good
Back
Top Bottom