Wasalaam,
Natumai mko poa.
Naomba mwenye anajua au mwenye nayo syllabus ya computer study inayotumika kwa Sasa anijulishe naipata vipi /anipe(in soft copy)
Natanguliza shukrani.
Hi guys... hope mko POA!
Iko hiv kuna girl mmoja we are in love now! Yaan mapenzi moto-moto hadi shetani anaona wivu..
Tumepanga mipango mingi Sana kwa ajili ya future yetu..
Tuishi pamoja yaan Mke na Mme ..
Lakin...
Kanizidi umri.., about three months 😶😶
Sio parefu Sana?
Je siku akijua my...
Hope mko poa!
Me nimewaza kitu kimoja.
(I'm not sure if someone else has already talking about that before).
kwamba kwa Nini software and Apps developer wa Tz tukutane na kujoin together.
then tuunde company ya ku build na kudevelop several types of softwares... maybe one-day tutaongezeka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.