Mkuu zidi kushangaa. Mke wa Ngeleja alitaka kupitisha mabilion kwenye mabegi JkNIA kupeleka Nairobi TISS wakamzuia kwa kuwa mume wake alikuwa waziri wa nishati na madini wakamshauri azipitishe Namanga
Hakuna kitu kibaya sana kama ulimi. Usipouchunga ulimi wako utakuletea aibu, madhara kwako na kwa wengine.
Hii familia imekuwa inaropoka sana wengine wakipoteza wapendwa wao tena katika mazingira ya kawaida tu ya kifo kama ajali au magonjwa. Utasikia tu eti Wamemtoa Kafara.
Mtu kafa kwa...
Hawa wabaguzi wa Ukraine wanawazuia waafrika kupanda treni kutoroka mapigano kwenda Poland.
Kinachosikitisha zaidi wanawazuia hadi wanawake na watoto tena wajawazito kisa tu rangi zao za mwili.
Acha tu Putin awaanyooshe. Wengi msiojua tangu Putin angie madarakani Urusi Kaleta mabadiliko...
Za chini chini na duru za uhakika kwamba Chalamila alishaomba mara nyingi sana kujiuzulu wakamkatalia. Akamua juzi ataaitisha mkutano na waandishi wa habari. Wakaamua kumuwahi usiku wa manane kuepukana na aibu
Mambo yao kimya kimya tu na ya uhakika hawana misifamisifa ya kijinga. Na inasadikika wako mbioni kumpeleka binadamu wa kwanza Mars. Hii kitu inawaumiza NASA sana ndo maana Ellon Musk anaweweseka anataka kupeleka 2026 shauri zake
Wanakubali tu hivyo hivyo ila inawauma sana. Na ikitokea Mwafrika ama muajemi/iran kwenda Mars watajinyonga kabisa. Ukiona jinsi Marekani walivyoihujumu Huawei wazi kabisa mabeberu wana wivu mbaya sana hasa Marekani ameshindwa kuficha maumivu yake hawa wengine Uingereza ufaransa n. K wanaumia...
Marekani na washirika wake wanaumia sana China kuja juu katika anga za mbali. Wanatamani tu wafeli au vyombo walivyo tuma vilipuke.
Mwezi huu wa tano chombo cha China kitatua Sayari ya Mihiri Mars. Tayari kimeshaingia Orbit ya Mars ikiizunguka nakuchagua sehemu muafaka ya kutua.
Pia tayari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.