Search results

  1. Nsaji wa Lila

    Umebahatika kukanyaga ardhi za mikoa mingapi hapa Tanzania?

    Km ndio kwa staili hiyo basi nimefika mikoa yote. Maana mie hadi nifike makao makuu ya mkoa ndio nahesabu km nimefika
  2. Nsaji wa Lila

    Umebahatika kukanyaga ardhi za mikoa mingapi hapa Tanzania?

    Nimebakiza mikoa sita tu ambayo sijafika. Kagera, Mtwara, Lindi(mjini, kwan baadhi ya wilaya zake nimefika), Ruvuma Katavi Na Rukwa. Panapo maajaliwa 2025 ntaimaliza yote. Maana hobby yangu ni kusafiri
  3. Nsaji wa Lila

    Je, Dkt. Mpango ndiye Rais ajaye?

    Kama chadema hawana mpango wa kushiriki uchaguzi 2025 km hakuna tume huru ya uchaguzi, ina maana 2025 CCM itendelea tena kutawala. Tuombe CHADEMA wakubali kushiriki japo kushinda nafasi ya urais kwa tume hii sidhani, kwenye ubunge wanaweza kupatapata.
  4. Nsaji wa Lila

    Mtanzania kama hujawahi kufika South Africa, Europe au USA wewe ni mshamba tu

    Mkuu kwann umeitaja Nzega??[emoji2] Tabora imekaa kushoto sana ya nzega. Watu wa nzega kuliko kwenda tabora mjini wanaona bora waende Mwanza. Kuhusu kusafiri umesema kweli. Kuna watu hadi wanazeeka hajasafiri hata mikoa mitano ya Tz. Sasa kwenda nje ya nchi ndio hata hawajawaza kabisa...
  5. Nsaji wa Lila

    Rais Samia afanya uteuzi wa Makatibu Tawala wa Mikoa

    Tabora hiyo na huyo mtu jina la kati ni Robert [emoji1][emoji1] code imefunguka
  6. Nsaji wa Lila

    Tetesi: Kigwangalla kuwa Waziri mpya wa Afya, Dr. Gwajima kwenda Jinsia, Wanawake, Wazee na Watoto!

    Kigwanomics ni mkimbu. Kikabila kimoja kidogo kipo mpakani mwa singida na tabora. ( wanyamwezi mixer wasingida) mama yake ni mnyamwezi msukuma
  7. Nsaji wa Lila

    Kongwa Beef kutoka NARCO sasa yaingia ofisini na nyumbani kwako

    Huduma za kusambaza nyama bado zinatolewa??
  8. Nsaji wa Lila

    RAI: Vijana mnaoanza maisha msianze kujenga nyumba, ni hatari sana

    Au tuseme. Hakikisha unajipanga. Ili ukifa usiache mzigo kwa familia. Bali uache neema. Kufa ukiwa tajiri.
  9. Nsaji wa Lila

    Jinsi mwanamke anayejiuza alivyogeuka kuwa wife material

    Hiyo stori ina funza sana. Hata mimi moja ya jamaa yangu alinasa kwa kahaba. Naogopa kusema malaya maana ni shemeji yangu sasa [emoji1787] Haya mambo aisee yanatokeaga sana tu. Makahaba baadhi wanafanya ukahaba sio kwa kupenda bali ni kutokana na changamoto za kimaisha. Wengine hawana tumaini...
  10. Nsaji wa Lila

    Nawezaje kupata apartment za bei rahisi Dar?

    Njoo pm nikutumie namba ya dalali wa makongo mmoja anaitwa bosco
  11. Nsaji wa Lila

    Nawezaje kupata apartment za bei rahisi Dar?

    Makongo juu zipo ila sio full furnished.
  12. Nsaji wa Lila

    #COVID19 Kwanini Rais ameamua kujificha nyuma ya kamati ya Corona? Anaogopa nini kuwambia Watanzania wajiandae na AstraZeneca? Anaogopa nini?

    Mkuu we unapenda kujaji vitu usivyojua. Ungeweza kuniuliza vizuri. Sio hivi unavyofanya kusema vitu ambavyo huvijui. Hujui usemalo. Ngoja nikuache
  13. Nsaji wa Lila

    #COVID19 Kwanini Rais ameamua kujificha nyuma ya kamati ya Corona? Anaogopa nini kuwambia Watanzania wajiandae na AstraZeneca? Anaogopa nini?

    Wewe ndio unasupport hizo efforts?? Bro we mtu wa ajabu sijapata kuona. Kwan kuingia maabara kuna kuzuia kuingia mtandaoni?? Ulitaka watu wawe walala maabara?? Wewe ni bush lawyer tu mkuu
  14. Nsaji wa Lila

    #COVID19 Kwanini Rais ameamua kujificha nyuma ya kamati ya Corona? Anaogopa nini kuwambia Watanzania wajiandae na AstraZeneca? Anaogopa nini?

    Mkuu kwan kati ya malaria na covid ipi ni hatari kwetu sisi afrika?? Ningekuona mfuatiliaji mzuri kama ungeanza kuona magonjwa yapi yanapaswa kupewa kipaumbele kwanza. Wazungu wao covid imekuwa ni hatari sana k.v mafua kuliko sisi. Sisi malaria imekuwa ni hatari sana kuliko wao.haina maana...
  15. Nsaji wa Lila

    #COVID19 Kwanini Rais ameamua kujificha nyuma ya kamati ya Corona? Anaogopa nini kuwambia Watanzania wajiandae na AstraZeneca? Anaogopa nini?

    Bahati mbaya mie nimesoma vet medicine. So sio kwamba sijui nachoongea. Kujifanya msomi na mjuaji sana mbele za watu, haitakusaidia sana.
  16. Nsaji wa Lila

    #COVID19 Kwanini Rais ameamua kujificha nyuma ya kamati ya Corona? Anaogopa nini kuwambia Watanzania wajiandae na AstraZeneca? Anaogopa nini?

    Unaongea kwa uchungu kwa kuwa wazazi wao waliugua covid,. Vp ambayo wamepoteza ndugu zao kutokana na madhara ya chanjo ambayo hazijamaliza kufanyia utafit? Mkuu usiangalie wazaz wako au ndugu zako. Angalia athari za kiujumla kwa taifa na jamii yetu.
  17. Nsaji wa Lila

    #COVID19 Kwanini Rais ameamua kujificha nyuma ya kamati ya Corona? Anaogopa nini kuwambia Watanzania wajiandae na AstraZeneca? Anaogopa nini?

    Kwan hizi chanjo zimepitia hatua zote hizo, km sample trials, na efficanty analysis, results interpretation n.k Hayo yote kwwnye hizi chanjo hayapo, sasa wewe unasema nini??
Back
Top Bottom