Search results

  1. K

    Wapi nitapata USB ya aina hii?

    Naomba mwenye kuweza kuwa na usb ya iana hii, au zinapatikana wapi kwa dar, ni ya ipod, niliyokuwa naitumia imeharibika.nitashukuru.
  2. K

    Kijana wa chipsi anahitaji!!

    Anahitajika kijana wa jikoni, Awe mtaalam wa kupika chipsi, mishikaki, supu, na mazaga zaga yote kwa ujumla. awe mbunifu, sehemu ya biashara ni Tabata (Dar) ni kwenye bar. Awe na nia na kazi sio msumbufu!!mimi nitakuunganisha na muhusika, mengine mtaenda kukubaliana mwenyewe, mimi ni mjumbe.
Back
Top Bottom